GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Ukabila umekufanya uwe mwehu.......!
Dhambi unayo tenda ni mbaya sana.....!!
Kesho utaona......wazaramo wakwere watajaa Jangwani!
Sasa nani mwenye ukabila mie au CDM ambayo inataka kujitenga upande wa kaskazini wawe na Rais wao ? Na dhambi yakuwatenga wasukuma mnaisemeaje hiyo?:bange: