Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,845
- 2,667
Hii dhambi ya kuwatupia wanaume kila mzigo itaisha lini? Kwani bila mwanaume mwanamke hawezi kuwa na hamu ya kijamiiana? ini hasa kinachomfanya mwanamke asiwe na hamu ya ngono? Mbona huwa inafika wakati mwanamke akaonyesha dalili za wazi za kumtaka mwanaume kingono? Wasijilegeze kiivyo kiasi cha kusubiri kuchajiwa. Eti nyie wanawake mmekuwa mabetri hadi mchajiwe? Hisia za mwanamke anazo yeye mwenyewe.Ili mwanamke aweze kufika kileleni lazima awe ameandaliwa kisaikolojia kabla ya kufanya hilo tendo. Mwanaume ndiye mwenye wajibu wa kumuandaa mwanamke huyo, anawajibu wa kumhakikishia kuwa anachokitegemea ndani ya hayo mahusiano ni kweli na bayana ili asiwe na hofu kuwa unamdanganya au unamtumia then baada ya hapo wewe unashika ustarabu wako. Kumbuka kujamiiayana ni kitu chenye thamani kubwa kwa mwanamke,ni sawa na kutoa utu wake kwako, kwahiyo kama bado hajiami na hayo uliyo muahidi mawazo yake hayatokuwa kwenye hilo tendo bali atakuwa anawaza madhara endapo hutotimiza uliyo muahidi. Kwahiyo wanawake kutofika kileleni wanaume tunaweza kuwa tunachangia kwa kiasi kikubwa kwasababu wengi wetu tunawadanganya mambo ambayo ndani ya mioyo yetu hayapo kabisa.