Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Ndugu zangu,
Staili ya maisha ya sasa inatupeleka pabaya wanaume na kutishia ndoa nyingi. Ajabu wakati wanaume wengi wanakabiliwa na upungufu wa nguvu ya kiume, hamu ya wanawake kuwataka wanaume inashika kasi ajabu. Sasa hivi ni jambo la kawaida kuona wanawake wanaingia kwenye migogoro kwa sababu ya kugombea mwanaume. Hata ukisoma magazeti utakumbana na matangazo kibao ya dawa za kuongeza nguvu za kiume. Hali hii naitafsiri kama janga la kitaifa. Ni kama mazao yapo tayari shambani kwa mavuno lakini wavunaji wameishiwa nguvu.
Staili ya maisha ya sasa inatupeleka pabaya wanaume na kutishia ndoa nyingi. Ajabu wakati wanaume wengi wanakabiliwa na upungufu wa nguvu ya kiume, hamu ya wanawake kuwataka wanaume inashika kasi ajabu. Sasa hivi ni jambo la kawaida kuona wanawake wanaingia kwenye migogoro kwa sababu ya kugombea mwanaume. Hata ukisoma magazeti utakumbana na matangazo kibao ya dawa za kuongeza nguvu za kiume. Hali hii naitafsiri kama janga la kitaifa. Ni kama mazao yapo tayari shambani kwa mavuno lakini wavunaji wameishiwa nguvu.