Jane: Nini kilichomfikisha hapo?

Aina fulani ya uandishi iliyo tofauti kidogo, inatia moyo kwamba waandishi wetu wengine wanaweza kukaa chini na kufikiria. Ingeelimisha zaidi kama muandishi angepata habari zaidi na kuongea na mabingwa wa afya ya akili kupata maoni yao kuhusu issue hii, na hali ya afya ya akili kiujumla nchini.

Mara nyingi naona watu wa magharibi wanaongelea mambo mengi ya afya ya akili, watu wengi wanapata therapy, wame categorize matatizo ya akili katika sehemu nyingi (schizophrenia, obsessive-compulsive disorder, post-traumatic stress disorder, social anxiety, phobias, depression, bipolar disorder etc ) najiuliza hivi haya ni matatizo ya watu wa west tu? Sisi kwetu hayapo ? Au sisi tunaya underdiagnose ? Mfano unaoweza kutetea kwamba yapo ila tuna ya underdiagnose ni wa miwani. Vijijini watu wachache sana wanavaa miwani, lakini hili halimaanishi kwamba wote wana macho yanayoona vizuri, karibu wote hawana access na eye exams na kuvaa miwani. Kwa hiyo si kweli kwamba hawana matatizo ya macho, bali inaonekana hawana access na huduma za afya.

Naamini muandishi wa makala hii kwa msaada wa watu kama Professor Kilonzo ana uwezo wa kuandika series inayohusu mental health, aka tie in effects za madawa ya kulevya (I hear heroinn and cocaine are taking a good chunk of our population, especially in Dar and Zanzibar ) lakini pia kuingia deeply huko kwenye disorders.

Haya ni mambo muhimu ambayo inabidi tuyafanyie utafiti zaidi. Napenda kumpongeza kila muandishi anayeonyesha utashi wa kutaka kuelewa na kuelewesha zaidi mzizi wa tatizo (of course the all encompassing ubiquitous socio-economic reasons)

Najua kwamba, ina way, kuongelea the intricacies of mental health kwa watu ambao largely hawana running water, therefore main concern yao inaweza kuwa hygiene na infectious disease, kunaweza onekana elitist au hata unreasonable. Lakini at the same time, there is no reason we can't present a multi-front attack on the causes of poverty, diseases and ignorance.

yapo mimi pia ni mgonjwa nina bipolar disorder na schizophrenia..na namshukuru mungu.niko ughaibuni napata madawa na free medical care....nimesikikitika sana kusoma habari ya huyu mama kwa sababu i know for a fact labda ningekuwepo tanzania ningeishia kuwa kama huyu mama.

naiomba serikali iliangalie tena swala hili-inawezekana wagonjwa ni wengi kuliko inavyodhaniwa-sababu case nyingi tunaziskia mitaani za kucomit suicide-binafsi nadhaniaga labda ni depression ambayo kama ingegundulika early na kuwa treated hao watu wasingefikia hatua za kujiua.nailaumu serikali inawalet down watu wenye mental diseases sababu hata nikikumbuka kuna hospitali mbili tu za vichaa-moja ni hapo muhimbili na nyingine ni milembe kule dodoma...wangefanya kama huku ughaibuni atleast kila mkoa kuwe na mental hospital-ingekuwa nafuu watu kupata access ya huduma hii muhimu.

sijui nini kinachomsumbua huyo mama,ila i certainly dont blieve mumewe has anything to do with her mental illness-i just think ugonjwa wake ni kama wangu ambao somehow uko genetic related na unahitaji madawa tu ya hospitalini and she will be back to her normal self.

kingine serikali ingejitahidi kucreate AWARENESS ya magonjwa ya akili,sababu wengi wanakimbilia kwa waganga na kuombewa which certainly doesnt work.

mie natumia dawa zinaitwa ABILIFY (apripazole)..kwa sasa,am sure huyo mama akianziwa dozi kama mimi she will be fine within a week-imenisikitisha amelost career yake na familia yake.
msiwe wepesi kuwahukumu familia yake kwa kumtelekeza its soo hard to live with mentally ill person katika mazingira kama hayo bongo.
 
roselyne...lucky you!

Hizo hospitali zenyewe huduma ni mbovu sana. Mama wa rafiki yangu ana matatizo hayo kwa miaka karibu 30, sijawahi kumuona Amepata nafuu. Hakuna cha afisa wa ustawi wa jamii wala nini.
Kila mwezi kliniki she doesnt get any better.
Jamani ngumu kuishi na watu hawa maana ina athiri hata wale wazima!
 
roselyne...lucky you!

Hizo hospitali zenyewe huduma ni mbovu sana. Mama wa rafiki yangu ana matatizo hayo kwa miaka karibu 30, sijawahi kumuona Amepata nafuu. Hakuna cha afisa wa ustawi wa jamii wala nini.
Kila mwezi kliniki she doesnt get any better.
Jamani ngumu kuishi na watu hawa maana ina athiri hata wale wazima!

Thanks Nightngale...
kama hujaligundua tatizo ni nini-its hard kutibu kwa kweli-mie mwenyewe sio kwamba nimepona ila nawezeshwa kuishi na ugonjwa wangu-they make it more manageable na possible kulead normal life.
mie nadhani serikali ingerecruit watu especially kwa kazi hio, kama huku ukiumwa then kunakuwa na mlolongo wa watu kuhakikisha huumwi tena-daktari,nurse wa magonjwa ya akili,social worker na occupational therapist-wote wanahakikisha unacope na ugonjwa wako hata baada ya kutoka hospitali.
 
kwa bongo kwa kweli, we have a very long way to go. Sekta zote muhimu kama afya na elimu mambo yetu ni patupu kabisa.
 
kiranga na reseline 1 nawashukuru kwa ufafanuzi mzuri kuhusu mental health and its diagnosis

inasikitisha ila kama alivyosema mchangiaji mmoja tusilaumu upande wa mume pekee, huwezijua mambo ya ndani bwana. mbaya zaidi waliongozana naye nje ya nchi, huko hatujui nini kilijiri. labda hata kuna mdudu aliingia kwenye ile ndoa kupitia mama au baba. sote hatujui na wamndishi hakuweza kukipata mara moja ni nini kilijiri huko ujerumani.

na hao mashem tusiwaamini sana kwani most of shemz tena kwa prof huwa wanategemea kuchuna zaidi. sasa wakikuta shem hachuniki ndio wanamrushia mawe kuwa alimtelekeza dada yao. madai haya si ya kuamini sana. mtu waliyezaa naye watotot wawili si rahisi kumtupa hivyo kwa sababu ya ugonjwa tu.

pia mwajiri naye anaweza kusababisha hayo. kumbuka alilazimishwa kuacha kazi ili akasome. lakini aliporudi wakasema ujuzi wake unahitajika, wakampokea! sasa walitegemea atapataje ujuzi kama wasingem-release for studies/ tena unakuta watu wa kada zingine anaajiriwa leo kesho anapata masomo wanamrelease, kada zingine unaambiwa mpaka umalize kipindi cha majaribio. halafu wote watumishi wa umma, mwajiri mmoja yuleyule. hapa napo panahitaji overhaul ya kanuni za utumishi wa umma kuondoa ubaguzi. haya yote ni sources of stress

ila sisi tulio wazima tujiulize, tunajizuia namna gani kuwakwaza wengine? sio tusikitike tu hapa huku tukiendelea kuwa makwazo kwa ndugu, jamaa, wafanyakazi wenzetu, marafiki na majirani zetu.
 
Mungu atawalipa wale wote waliohusika katika hili. AMEN
 
Huyo aliekua mmewe Jane hajafikia level ya kua profesa. Ni Daktari (PhD) pale Mlimani katika Taasisi ya Kutathmini Rasilimali (IRA). Ni kweli PhD yake kaisomea University of Bremen. Kwa sasa ni Senior Lecturer hapo IRA. Pia ni Policy Adviser wa WWF-TZ. Pia ni consultant maarufu katika mambo ya EIA/SEA hapa TZ. Anaishi Mbezi Beach pale maeneo ya Karibu Art Gallery. Ana mke mwingine ambae nae ana PhD yupo Idara ya Elimu ya Mimea (Botany) pale Mlimani. So nadhani kama kuna mtu anaweza kufanya inquiry ya ABC ya tatizo la Jane Sosovele,then amekwishajua wapi pa kuanzia. Too bad I can't be that person kwasababu sipo Dar.
 
roselyne...lucky you!

Hizo hospitali zenyewe huduma ni mbovu sana. Mama wa rafiki yangu ana matatizo hayo kwa miaka karibu 30, sijawahi kumuona Amepata nafuu. Hakuna cha afisa wa ustawi wa jamii wala nini.
Kila mwezi kliniki she doesnt get any better.
Jamani ngumu kuishi na watu hawa maana ina athiri hata wale wazima!



Kwa mama aliyenileta duniani siwezi kuchoka mpaka mungu atakapo nichukua.
 
Nimesikitika sana kwa habari hii kwa sababu huyu dada ninamfahamu. Wakati akisoma Jangwani 5 & 6, mimi nilikuwa Azania na baadae tukakutana JKT. Nimeona ushauri wa kupelekwa kwenye maombi, ni mzuri iwapo tu wapo nduguze wanaoweza kuwa wameona hili tundiko.
 
Dah, nimemkuta dogo kwenye facebook, sijui nimpostie na hii article..pengine waliambiwa mama yao alishafariki...au mnasemaje wadau

Ibrahim Sosovele | Facebook

Elli,

Nadhani mtu wa kufanyia kazi ugonjwa wa huyu mama ni mume wake Dr. Sosovela - Unless imekuwa proved beyond reasonable doubt kwamba hatibiki, mumewe has all the obligation kumtafutia tiba sahihi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom