Jane: Nini kilichomfikisha hapo?

Hivi hao watoto wake si watu wazima kabisa? wanajisikiaje kuona mama yao analandalanda pale posta. Naamini kama watoto wake wangemwonyesha upendo wa dhati bila shaka Jane angepata faraja ya watoto na kurudi kwenye hali yake. Very sad story real.
 
Hivi hao watoto wake si watu wazima kabisa? wanajisikiaje kuona mama yao analandalanda pale posta. Naamini kama watoto wake wangemwonyesha upendo wa dhati bila shaka Jane angepata faraja ya watoto na kurudi kwenye hali yake. Very sad story real.

Inawezekana wanafichwa kabisa
 
Ndugu wa Jane aliyejitambulisha kwa jina la Mama Mariamu, anasema mama huyo wa watoto wawili akiwa Chuo Kikuu, mwaka 1984 alibeba ujauzito wa mtoto wake wa kwanza Daudi kabla ya kufunga ndoa mwaka 1986. Mwaka mmoja baadaye aliamua kumfuata mumewe Ujerumani pamoja na kusoma.

Safari yake ya Ujerumani ilimgharimu kwani kwa mujibu wa taarifa ya Utafu, aliomba likizo ya bila malipo ambayo ilikataliwa na mwenyewe kuamua kuondoka bila kibali hivyo kufutwa kazi Januari, 1988.

Mama Mariamu anasema wakati ndugu yake huyo akiwa safarini Ujerumani alikuwa na ujauzito wa mtoto wake wa pili, Ibrahim na matatizo ya ndoa yalianzia huko kwani aliporudi hakuwa na amani tena.

Akizungumzia madai hayo, mume wa Jane, Profesa Hussein Sosovele anasema: "Mimi na Jane tumeachana muda mrefu. Mambo yake na yangu yaliisha miaka zaidi ya 10 iliyopita kwa hiyo habari zake sizijui."


Wadau uchunguzi na utundu wangu wa haraka nimefanikiwa kupata vijana hao wawili kwenye facebook nahisi ndio wenyewe Daud anajihita Dawood Sosovele na Ibrahim anajihitaIbrahim Sosovele with link Ibrahim Sosovele | Facebook
Jamani MAMA ni MAAM, Kuna watu tunatamani tungekuwa na hata Huyu mwenye matatizo kwani MAMA ni mama,
Nachoomba kama ni kweli hawa madogo ndio watoto wake, yeyote anaye wajua aongee nao na awaambie MAMA NI MAMA warudi huko waliko waje wamuone MAMA, Hata kama BABA anawaambia kuwa MAMA, aliwakimbia au aliwatesa au MAMA KashaFARIKI basi wajue mama yupo HAI, Maana inaelekea HAWAMADOGO WAPO UGHAIBUNI!.

Kama sio wenyewe SAMAHANINI kwa kuwafananisha.

Nihayo tu!
 
Hivi hao watoto wake si watu wazima kabisa? wanajisikiaje kuona mama yao analandalanda pale posta. Naamini kama watoto wake wangemwonyesha upendo wa dhati bila shaka Jane angepata faraja ya watoto na kurudi kwenye hali yake. Very sad story real.
well said mkuu, sijui wanajua kilichomfika mama yao au ndiyo walifichwa, kama wapo na wanafahamu inabidi wachukue hatua.
 
kusaini mikataba mbalimbali!
Serikali inamtaka mtu pale anapokuwa mzima na nguvu za kuitumikia, baada ya hapo ni majaliwa. Vilevile ina ubaguzi. Juzijuzi nilimsikia yule Mbunge alokuwa amelazwa anasaidiwa na serikali kuenda matibabu India, wakati yule mama alokuwa Mkuu wa Wilaya walikuwa wanampigia danadana. Vivyo hivyo kwa Mzee Moris, niliumia sana siku alipokuwa anahojiwa na DW kusikitika Serikali ilivyomtelekeza. Hali ya huyu dada inasikitisha, lakini Mungu ni muweza. Tumwombeeni.
 
Yaani hii stori imegonga mfupa wa mwili na kuniharibia siku yangu kabisa. Afadhali ni usiku wa manane ila dah sisi wanaume !!! Ila huwezi jua pengine nae mwanamke kuna jambo amemfanyia mumewe sisi hatulijui kwa kuchanganyikiwa saa zengine kunasababishwa na guilty conscious
 
Aina fulani ya uandishi iliyo tofauti kidogo, inatia moyo kwamba waandishi wetu wengine wanaweza kukaa chini na kufikiria. Ingeelimisha zaidi kama muandishi angepata habari zaidi na kuongea na mabingwa wa afya ya akili kupata maoni yao kuhusu issue hii, na hali ya afya ya akili kiujumla nchini.

Mara nyingi naona watu wa magharibi wanaongelea mambo mengi ya afya ya akili, watu wengi wanapata therapy, wame categorize matatizo ya akili katika sehemu nyingi (schizophrenia, obsessive-compulsive disorder, post-traumatic stress disorder, social anxiety, phobias, depression, bipolar disorder etc ) najiuliza hivi haya ni matatizo ya watu wa west tu? Sisi kwetu hayapo ? Au sisi tunaya underdiagnose ? Mfano unaoweza kutetea kwamba yapo ila tuna ya underdiagnose ni wa miwani. Vijijini watu wachache sana wanavaa miwani, lakini hili halimaanishi kwamba wote wana macho yanayoona vizuri, karibu wote hawana access na eye exams na kuvaa miwani. Kwa hiyo si kweli kwamba hawana matatizo ya macho, bali inaonekana hawana access na huduma za afya.

Naamini muandishi wa makala hii kwa msaada wa watu kama Professor Kilonzo ana uwezo wa kuandika series inayohusu mental health, aka tie in effects za madawa ya kulevya (I hear heroinn and cocaine are taking a good chunk of our population, especially in Dar and Zanzibar ) lakini pia kuingia deeply huko kwenye disorders.

Haya ni mambo muhimu ambayo inabidi tuyafanyie utafiti zaidi. Napenda kumpongeza kila muandishi anayeonyesha utashi wa kutaka kuelewa na kuelewesha zaidi mzizi wa tatizo (of course the all encompassing ubiquitous socio-economic reasons)

Najua kwamba, ina way, kuongelea the intricacies of mental health kwa watu ambao largely hawana running water, therefore main concern yao inaweza kuwa hygiene na infectious disease, kunaweza onekana elitist au hata unreasonable. Lakini at the same time, there is no reason we can't present a multi-front attack on the causes of poverty, diseases and ignorance.
 
Aina fulani ya uandishi iliyo tofauti kidogo, inatia moyo kwamba waandishi wetu wengine wanaweza kukaa chini na kufikiria. Ingeelimisha zaidi kama muandishi angepata habari zaidi na kuongea na mabingwa wa afya ya akili kupata maoni yao kuhusu issue hii, na hali ya afya ya akili kiujumla nchini.

kiranga nakbaliana na wewe lakini kwenye taaarifa huwezi ku cover kil kitu. Unless unataka aaandike kitabu.Kaamua kuchunguza Maisha ya huyo mama ni hbari tosha

Naweza kuongeza zaidi ya mambo ya afya kuna area/fani ya ustawi wa jamii.

  • Hivi kuna watu wmeajiliwa kwakazi hii nchini?
  • Hivi kuna mofisa katika ngazi ya wilaya na mkoa wanaenda field kukutana na real people , wanafunzi mashuleni, watoto mtaani e.tc
  • Je ustwi wa jamii wanayo database ya watu wenye matatizo kam haya?
Kuna uhaba wa huduma na maafisa wa ustawi wa jamii. kama wapo nadhani wamekaaa kwenye madesk wanasubiri issue ziwafuate badala wao wazifute kuzichunguza na kuona kama wanaweza kusaidia kabla mambo hayajaharibika
 
Mtazamaji, hao maafisa ustawi wa jamii ndiyo wanaitwa "social workers" kwa kizungu?
 
Mtazamaji, hao maafisa ustawi wa jamii ndiyo wanaitwa "social workers" kwa kizungu?


Yah hao hao hivi Tanzania wapo????? Kazi yao nini?
Mfano watoto au vichaa wa mitaani record zao kama majina, umri, majina ya ndugu au wazazi , History ya mtu ni Jukumu la nani.

Matatizo mengine tunapat sababoukilamtu anataka degree n kilamtu anataka kazi ya kuva suti na tai

kilimasera said:
UMKINI wengi wanaomuona Jane Sosovele katika maeneo ya Posta Mpya na mengine ya jirani hudhani kwamba ugonjwa wake wa akili alionao haukumpa fursa ya kujua kusoma na kuandika.

Wanapomuaona akiongea maneno yasiyokuwa na mbele wala nyuma, akiwa amebeba mfuko wa plastiki ambao ndani yake huwa na makaratasi ya kuokoteza, huku akiomba chochote kwa wapita njia huamini kwamba hana analolijua.

Hao wamekosea. Mwanamke huyu ni msomi aliyekuwa tegemeo kubwa katika fani ya mawasiliano ya simu katika Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL)...............

Kilimasera kama unaweza na unamuda fanya series ya hii habari . wahoji n kuwachunguza watu pia watu wa afya na ustawi wa jamii. Tujue maoni gani.

Kwa Ustawi wa jamii( ilala au dar ) sio tu maoni waulize
-kama kiofisi yuko kwenye rada /database yao
-kam yupo amekuwa registered kama ana matatizo gani. Kama hayupo kwa nini hawana rekodi zake
-wamefanya nini wanajaribu kuwasaidiaje watu kama hawa
- etc

Kuna watu hawafanya kazi zao mpaka wahstuliwe
 
Maprofesa wengi wamechanganyikiwa sana, hasa hawa wa hapa nyumbani! lakini ni ndoa tu? only that au ilikua zaidi? inaonyesha alimpenda na kumwamini sana...pole dada Jane!
 
wanaume sisi!!!!!!!

Hivi inakuwaje mpaka tunakuwa hivyo unakuta wanaume wengi tunapenda uzima tu ila matatizo yanapowatokea wake zetu kama hayo ya Jane tunawatema sidhani kama wanawake wengi wana tabia za kuwatema waume zao mara tu wapatapo matatizo hasa ya kiakili!eti umamrudisha kwa wazazi wake sasa wakamfanye nini na mlishakubaliana kwamba mtavumiliana katika shida na raha na matatizo yote ya dunia kaazi kwelikweli na jamaa ni proffessor msomi wa juu kabisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom