Jane Mponzi wa Vodacom is no more!

Nyie ndio mnaoifanya hii nchi iwe hapa ilipo.....gama na mwenzie komba wako kwenye hatari ya kufa any time kwa mujibu wa afya zao.....mimi siko kama wao..and i'll never be like em..never.....siwezi kuwa mlafi mpaka nikafikia huko....najali afya yangu..nakula mlo kamili..sibugii bugii hovyo arifu......suala la kufa mapema sio ishu....kuna mambo mengi ya kidunia lakini siwezi kufa kifo cha kujitakia cha kuwa mlafi kama kitakachowatokea komba na gama......

Obesity ipo sana tz.....style ya maisha ya nyie wasomi mnaiga ya majuu....
--chakula mna shoop shoprite kilichokaa kwebnye friji mwezi mzima....ukishakuwa msomi huwezi kununua chakula sokoni bana....hautaeleweka kwa level yako..lazima uvae buktaa kubwaa ya puma raba ya adidas na tshirt ya sean john unaingia mlimani city ku shop kwa madaa huku umening'iniza funguo za Verossa kwenye ruksi ya kaptula yako......
na ukiwa hapo vitu kama ice cream,pop corn lazima uwe unakula kidogo uku ukishop bana......mwisho unamalizia samaki samaki kupoza koo na bia.....

siku hizi kijana under 30 kibao wanene kupita maelezo....pole sana arifu.....

ndugu yangu waweza kuwa sahihi kabisa ila 'do a right thing at a right time and place'hakuna mtu anayejitakia kufa rafiki,huenda ata uo unene wake ni wakurithi na alikuwa anafanya mazoezi.usijudge kifo cha mtu maana wote hatujui kwa nini alipata iyo heart attack,ungekuwa sio 'yo yo' ungeanzisha uzi wako ukielimisha watu wote khs umuhimu wa kufanya mazoezi,kuliko huu uchekechea unaoandika usio kuwa na mbele wala nyuma,usipende kuwatabiria watu kifo,waweza kufa uwaache,hapa sio sehemu ya kuelezea uzinzi wa komba!! Andika uzi wako uelezee,apa tunapeana pole khs kifo cha dada yetu jane na kumuombea thats all
 
ndugu yangu waweza kuwa sahihi kabisa ila 'do a right thing at a right time and place'hakuna mtu anayejitakia kufa rafiki,huenda ata uo unene wake ni wakurithi na alikuwa anafanya mazoezi.usijudge kifo cha mtu maana wote hatujui kwa nini alipata iyo heart attack,ungekuwa sio 'yo yo' ungeanzisha uzi wako ukielimisha watu wote khs umuhimu wa kufanya mazoezi,kuliko huu uchekechea unaoandika usio kuwa na mbele wala nyuma,usipende kuwatabiria watu kifo,waweza kufa uwaache,hapa sio sehemu ya kuelezea uzinzi wa komba!! Andika uzi wako uelezee,apa tunapeana pole khs kifo cha dada yetu jane na kumuombea thats all

Taarifa kwa picha huwa inasaidia sana...ukitaja jina la Jane nisingeweza kumfaham ila nilipoiona picha nimeshtuka sana...huyu dada tulikuwa nae pale PPF Tower kabla voda hawajaama na niseme tu kwamba alikuwa ni mchangamfu, mcheshi na rafiki wa kila mtu..honestly...rest in peace Jane.

Huyu bwana Yo Yo anachafua hali ya hewa hata kwenye huzuni jamani? Come on tuwe wastaarabu.
 
R.I.P Jane......


430226_10150616685158505_710893504_9385812_84321808_n.jpg
Duuh!! aiseeee alikuwa bonge! RIP
 
Huyu bwana Yo Yo anachafua hali ya hewa hata kwenye huzuni jamani? Come on tuwe wastaarabu.
ndugu yangu waweza kuwa sahihi kabisa ila 'do a right thing at a right time and place'hakuna mtu anayejitakia kufa rafiki,huenda ata uo unene wake ni wakurithi na alikuwa anafanya mazoezi.usijudge kifo cha mtu maana wote hatujui kwa nini alipata iyo heart attack,ungekuwa sio 'yo yo' ungeanzisha uzi wako ukielimisha watu wote khs umuhimu wa kufanya mazoezi,kuliko huu uchekechea unaoandika usio kuwa na mbele wala nyuma,usipende kuwatabiria watu kifo,waweza kufa uwaache,hapa sio sehemu ya kuelezea uzinzi wa komba!! Andika uzi wako uelezee,apa tunapeana pole khs kifo cha dada yetu jane na kumuombea thats all
Mimi nilitegemea mniunge mkono kwa kuweka angalizo kwa sisi tuiobakia......hivi vifo vya ghafla vinaweza kuepukika....haya ndio nyie marehemu kafa na ukimwi mnasema kafa kwa kisukari....na makaburini kafa mwizi/mla rushwa,mzinzi,mshirikina mnasema Mungu amlaze mahala pepa peponi....mna utani na Mwenyezi Mungu nyie.....dada Jane kweli katutangulia lakini nasisitiza na sisi tuwe waangalifu na milo yetu.....ili tuepukane.....
siwezi kusema apumzike kwa amani maana imani yangu inaniambia mtu akisha kufa roho yake itahukumiwa kutokana na matendo yake......Mungu mwenyewe ndio anajua wapi atamuweka.....
 
Mimi nilitegemea mniunge mkono kwa kuweka angalizo kwa sisi tuiobakia......hivi vifo vya ghafla vinaweza kuepukika....haya ndio nyie marehemu kafa na ukimwi mnasema kafa kwa kisukari....na makaburini kafa mwizi/mla rushwa,mzinzi,mshirikina mnasema Mungu amlaze mahala pepa peponi....mna utani na Mwenyezi Mungu nyie.....dada Jane kweli katutangulia lakini nasisitiza na sisi tuwe waangalifu na milo yetu.....ili tuepukane.....
siwezi kusema apumzike kwa amani maana imani yangu inaniambia mtu akisha kufa roho yake itahukumiwa kutokana na matendo yake......Mungu mwenyewe ndio anajua wapi atamuweka.....

Unahitaji Maombi Yo Yo!
 
Nadhani hawa walipendana sana, kifo cha Mume kimesababisha kifo cha Mke. Mauti ya Jane ni Kihoro cha kumpoteza mumewe.
 
Kwa kweli umati uliokuwa leo Osterbay nyumbani kwa mzee Gabrieli Mponzi pamoja na pale kanisa la st peters ulikuwa wa kutisha sana ,kwa kweli Jane ametokea kuwa kipenzi cha majirani,wafanyakazi wenzake na wote.
Watu walijaa sana na parking ilikuwa hakuna kabisa imeanzia pale jaques mpaka ule mtaa wao moja kwa moja baharini na mitaa inayoingia kushoto.walikuwepo watu wa aina zote kuanzia waheshimiwa ambao wanakaa jirani kabisa kama jaji samata na wengine wengi sana.
Sasa hivi msafara uko mlandizi unaelekea iringa
RIP Jane
 
Pole sana wafiwa wote. Dada Doris namfahamu anafanya kazi pale Sigara Export Department. Pole Doris kwa msiba huu mkubwa. Halafu jamani tuwe na ustarabu maneno makali hata kwa marehemu.
 
Siku yako uliyoandikiwa ikifika imefika na utaiagga dunia,hayo mengine ni jtihada tu za kibinaadamu,siri kubwa iko kwa mwenyez mungu aliye juu
 
Dada yetu Mpendwa Jane Mponzi aliyewahi kufanya kazi VODACOM amefariki dunia ghafla jana asubuhi,Ndugu wa karibu wamesema alipatwa na "Heart attack" Jane aliolewa na Herry Makange (Marehemu) aliyekuwa Channel 10 na alifariki kwa ajali ya Boda boda Tegeta. Msiba upo Oysterbay Barabara ya Msasani Baada ya Jackies Bar unaingia mtaa wa kulia kabla ya kile kilima maarufu. MUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI AMEN!

Natumaini naye aliwahi kuwa MwanaJF kwani alikuwa mtu wa Mtandao.

du nafasi ya kazi hiyo. job seekers kazi kwenu
 
Poleni wafiwa, hasa watoto. Its so sad watoto kukosa wazazi.
BTW, Iringa ndiyo nyumbani kwao au kwa marehemu mumewe? Naona kama jina la marehemu mumewe halikukaa ki Iringa vile.
 
Back
Top Bottom