Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Jane ni binadamu kama ulivyo wewe. Tuna kila haki ya kusikia au kupata taarifa za binadamu mwenzetu. Kaka wewe umekuwa ni mtu wa kupata taarifa za watu maarufu tu, basi huna haja ya kuchangia kama unaona sio mtu anayekupendezesha wewe. RIP JANE.
safi sana! mijitu mingine inamaswali ya ajabu sana.