Moshe Dayan
JF-Expert Member
- Feb 10, 2008
- 815
- 698
rip! naomba kujua, je ana undugu na bibie mmoja anaitwa grace kwa ubini huo huo??
rip! naomba kujua, je ana undugu na bibie mmoja anaitwa grace kwa ubini huo huo??
ni wakati sasa wa wabongo kuacha kula vyakula vya barabarani chips,kuku na mafuta mengine....pia kuanza mazoezi sio kushinda bar na kunywa pombe.....imagine dada kama huyu kafa kifo cha kujitakia naweza kusema.......kama angefuata kanuani za mlo ulio bora na kushiriki mazoezi inawezekana kabisa leo hii engekuwa bado yu hai.....heart attack nyingine sisi wanadamu tunazitafuta......
Watz mpunguze altitude yenu ya kuwa mwenye kitambi ndio mwenye afya....ati ukiwa mnene ndio una afya....rip dada jane....
Dah! Kwa kweli, its a small world! Poleni!Jane ni dada wa Grace Mponzi
apart from kufanya kazi vodacom.....hayati jane alikuwa nani? why so spaecial bna huyu dada..rip jane
[/QUOTE]KWENYE MISIBA MINGI NENO ...."kama"..... LINAPOTUMIKA IT SADDENS ME A LOT....WHAT SHOULD WE DO WITH DEATH AROUND. TAKE CARE IN EVERYTHING YOU DO.[ kama angefuata kanuani za mlo ulio bora na kushiriki mazoezi inawezekana kabisa leo hii engekuwa bado yu hai.....heart attack nyingine sisi wanadamu tunazitafuta......
Watz mpunguze altitude yenu ya kuwa mwenye kitambi ndio mwenye afya....ati ukiwa mnene ndio una afya....rip dada jane....
Altitude inahusikaje hapo mkubwa?.....Halafu hiyo RIP yako ni kejeli tupu!ni wakati sasa wa wabongo kuacha kula vyakula vya barabarani chips,kuku na mafuta mengine....pia kuanza mazoezi sio kushinda bar na kunywa pombe.....imagine dada kama huyu kafa kifo cha kujitakia naweza kusema.......kama angefuata kanuani za mlo ulio bora na kushiriki mazoezi inawezekana kabisa leo hii engekuwa bado yu hai.....heart attack nyingine sisi wanadamu tunazitafuta......
Watz mpunguze altitude yenu ya kuwa mwenye kitambi ndio mwenye afya....ati ukiwa mnene ndio una afya....rip dada jane....
Dada yetu Mpendwa Jane Mponzi aliyewahi kufanya kazi VODACOM amefariki dunia ghafla jana asubuhi,Ndugu wa karibu wamesema alipatwa na "Heart attack" Jane aliolewa na Herry Makange (Marehemu) aliyekuwa Channel 10 na alifariki kwa ajali ya Boda boda Tegeta. Msiba upo Oysterbay Barabara ya Msasani Baada ya Jackies Bar unaingia mtaa wa kulia. MUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI AMEN!kabla ya kile kilima maarufu
Natumaini naye aliwahi kuwa MwanaJF kwani alikuwa mtu wa Mtandao.