Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,696
- Thread starter
- #61
We unafikiri hao wako kwaajili ya kukuosha kichwa na kukufanyia scrub tu, wako kazini pia, kutafuta mabuzi na wala sio boyfriend au husband hasa, kuna salon moja ya kiume mitaa ya home, hao wadada wanaoajiriwa kuosha wateja vichwa, scrub, wana mawowowo mpaka basi, na hizi sehemu za massage siku hizi ndio usisema, nasikia ni kama madanguro tu humo ndani!
Doreen22 wewe umenisoma vizuri and congrats. Nililenga hii iwe ndo mada kuu ya mjadala wetu. Nitarudi kwako baadaye.