utakuwemo tu, tena muhudumu ntakuwa mwenyeweOhoooo! Mimi simo!
Sinza mazee! Hiyo kitu iko Sinza bana! Vile vibinti vitabaka watu sasa hivi!Kwa vituko alivyonifanyia yule binti anayepashwa kunisafosha kichwa tu sasa naamini wanaume wengi sasa hivi salooni wanafuata mambo tofauti na kunyolewa. Hawa wake zetu wangejua yanayojiri huko saloon walahi mwenye uchungu na mzigo wake asingeuacha utinge hizi saloon alone.
"Kaka kaa hapa. Unafanya skraibu?" (Sijui ndo nini)
"Hapana, naosha kichwa tu." Halafu ukimwangalia analipaaa! Na mapozi ya kichokozi kibao!
Mara kang'ata kidole, kaanza kunipapasa kuanzia mabegani, shingoni hadi kaingiza vidole kwenye masikio yangu. "Ungefanya skraibu tu kaka, ona mafuta yalivyomengi kwenye pua." kanishika pua ananikamuakamua........
Mablazameni najua mnazijua hizi lugha, ebu tupeni mapana na marefu ya huma kwenye saloon zetu. Huwa zinawakera au zinawafurahisha?
Hpo ujue anaomba namba ya simu.hahahahaha hadi kusinzia mkuu we noma.!!! Unakuta anakuscrub shingon afu anapitisha mikono mpka kifuani kichokozi, akimaliza utasikia kaka na mi ela ya soda...
Aa-aaaah! Tunyolewe wapi na wapi tena?
Halafu ukivitolea nje vinamindi kishenzi! Sasa unajua mablazameni wengi huwa tuna kaaibu ka kuwaudhi mademu hasa wazuri.Ee bhana huwa ni bonge la raha we acha tu,hiyo skraibu sasa akianza mbona utaenjoy,ile tu anakupeleka kwenye chumba ndogo anakuuliza kama kuna huduma zingine unataka,aisee kwanza kuanzia huko mabegani,shingoni,unajikuta unasinzia aisee kitu ambacho hata sijafanyiwa na gf wangu
Hahahahaa! Punguza monkari BD, hizo huduma kama huwa huzitoi kwa mwenziyo ujue kuna wajanja wanampatia kikamilifu. Chunga mzigo mamie, ujue unawashindani. Si umeona mwenyewe mablazameni wanavyoshuka live?
hili nililijua mapema....my sweet mashed potato nimemnunulia mashine na namnyoa mwenyewe.....
we mbona raha sana,sijui mikono ya watu wengine imejaliwa nini,akikugusa tu mabegani mbona unakuwa crazy
mie nilikuwa namruhusu mara moja moja, siku nyingine naenda nae ....wananunaje????????
Kwa style hii nafikiria kumpa ban ya kwenda huko......
Da! Preta sikuwezi. Yaani unakaba hadi penati?
hahahhahhaha loh angalieni msije uza mechi tu.......kumbuka hao wadada wapo kibiashara zaidi oooohoooo
sijawahi kuwaambiwa ila hela ya soda nitatoa aisee,kingono hapana ila zile miguso ni mitamhahahahaha hadi kusinzia mkuu we noma.!!! Unakuta anakuscrub shingon afu anapitisha mikono mpka kifuani kichokozi, akimaliza utasikia kaka na mi ela ya soda...