Jana mheshimiwa rais kanilet down vibaya sana

kuna katuni moja huoneshwa kwenye tv huwa inafurahisha kwa kusema ukweli khs tanzania...kuna ng'ombe halafu mzungu anakuja anakuta hana majani, anamletea, kisha ng'ombe anakula na kunenepa fresh...kinachofuata, huku ng'ombe akizidi kula majani aliyoletewa, huku mzungu anakamua maziwa na anajaza mavyombo kibao, akishajaza huyoooooooo anasepa na kumuacha ng'ombe njaa kali hadi mbavu zinahesabika...HIYO NDIO ISHU YETU HAPA TANZANIA...!inatia uchungu sana kwani mali tunazo ila kuna wachache wanajimneemesha bila kujali maslahi ya watz wote.
 
Marekani huwa haendi na mipango ya serikali, anaendea kumtembelea mke wake bi mdogo mtoto wa Zakia melge yupo marekani anasoma. Na ndo maana ananafasi za kuonana na watu wa kawaida kama wasanii kwa vile timetable yake inakuwa very loose na ni lazima aende mara kwa mara maana kile kifaa hajakitumia sana.
 
Ndugu zangu kuna mambo yanaumiza sana! Embu fikiria mtuanakuambia sentence kama hii –
Siku moja nilikuwa DC OHMNI Hotel wakati najisajiri, dada Mmojaakaniambia hivi – Which country are you coming from, nikamwambia Tanzania, akeendeleahv .. Ok,Tanzania …. even your presidentwas here few days ago … kasha akamalizia …. It seems like your president is notbusy …..
Imagine sentence kama hizi utajisikiaje!
 
Mkuu msimamo wangu ni thabiti kuona kwamba chama cha mapinduzi kinaondoka madarakani, lakini siko tayari kufanikisha hilo huku damu ikinitoka,

Pili, Rais ni symbol ya Taifa langu, siko tayari kumdharirisha kwa sababu hiyo tu. ndio maana msimamo wangu wa jana ulikuwa ni kuangalia kama tuko tayari kumuita rais wetu ni dhaifu hata mbele ya wageni, yaani unamvua mzazi wako nguo waaaaaa mbele ya majirani, as simple as that
Over my dead body can I accept JK for a father let alone such a weak president to have around in the planet earth.
 
Over my dead body can I accept JK for a father let alone such a weak president to have around in the planet earth.

Mangikule, Do not take such an extreme position. what we call respect is not necessarily something to be earned, most categories of respect are duly classified, one of them is both presidency and the president, other are Parents, Teachers and other elder people and leaders in our communities etc.

I think the relevant item to challenge is the processes we go through in appointing individuals for the presidency, or else this is going to continue because this man is coming amongst ourselves, and as far as international aspects of this issue are concerned, this man is supposedely the wisest person on this land, this we have to accept the hard way and we must humble ourselves unto him and render him the due respect.

If the president is weak, then we are very weak
 
Ndugu zangu kuna mambo yanaumiza sana! Embu fikiria mtuanakuambia sentence kama hii –
Siku moja nilikuwa DC OHMNI Hotel wakati najisajiri, dada Mmojaakaniambia hivi – Which country are you coming from, nikamwambia Tanzania, akeendeleahv .. Ok,Tanzania …. even your presidentwas here few days ago … kasha akamalizia …. It seems like your president is notbusy …..
Imagine sentence kama hizi utajisikiaje!

Najua inauma, lakini haiwezi kuwa sababu ya wewe kuanza kubwatuka mbele ya huyo mdada kwamba, Yes my president is not busy at all and bla bla bla bla bla. not at all
 
Ndugu Sangarara, mwanzoni tu nilipojiunga JF post zangu nyingi ilikuwa kumponda JK. Baadae nikafikiri nikaona labda hii ya kuponda ponda tu kila wakati na kuwa too negative na rais wangu labda siyo njia sahihi. Ninajiumiza bure na kichwa kuuma kwa ajili ya kumponda mtu ambaye kwake yeye maisha ameshayaweza, kwa namna ya kushangaza yupo ikulu, na watanzania wenzangu wala hawaoni kama huyu mtu tulienae sie. Nikaamua kutojishughulisha na mambo ya Kikwete, after all amebakiza miaka michache tu tuanze historia nyingine ya utawala.

Lakini kila ninapojitahidi kutomwazia mabaya....rais wangu hasaidiki. Miongoni mwa maeneo yanayonikera sana kwa huyu mzee ni issue zake za marekani na wazungu. Ukiachia mbali kupuyanga kwake kwa ajabu, anatuaibisha sana pia watanzania kwenye ulimwengu sasa. Anaomba omba mno mpaka inakuwa mtu unakosa raha kujitambulisha kama mtanzania kwenye ramani ya dunia. Heshima ya taifa ni mambo mengi lakini kubwa mno ni kijisitiri. Huyu bwana hajui hata kujisitri, rais wa nchi unaenda kuomba hela kwenye vyama vya michezo? Oh come on!

Anyway, nitaendelea na policy yangu ya kutomweka sana akilini mwangu huyu mtu. Mke wangu na mwanangu watanipa raha kwenye hii nchi ya aibu.

Ai wishi watu wake wakaribu waone hii post yako, inaumiza sana, ila naomba utambue kwamba ninakupa heshima kubwa sana kwa maamuzi uliyochukua.

Zaidi ni kwamba, I wish watu akili ziwarudie na kukumbuka kwamba Kwa nafasi aliyonayo huyu mtu hata Mbinguni wanajua kwamba He is overseeing the affairs of more that forty million people. Matusi mengi na dhihaka juu yake zina amount to booing GOD as well.
 
Najua inauma, lakini haiwezi kuwa sababu ya wewe kuanza kubwatuka mbele ya huyo mdada kwamba, Yes my president is not busy at all and bla bla bla bla bla. not at all

Inaelekea mwenzetu unaichukulia TZ kama your own huse hold. If something is wrong is wrong and you do not need to hide it. Ndiyo maana nchi nyingine wanapigana physically kwa sababu hawataki kuona mambo ya kipuuzi yanaendelea. Nchi zilizo stable economically, wanapigana kwa hoja.

Hayo unayotaka kuyaficha kwa taarifa yako kuna watu wayafanyia research na ku-publish papers kila kukicha. Ningekuwa polical economists nafikiri ningekuwa na-publish papers kila kukicha kuhusu u "D" wa hii serikari.
 
Hivi jamani tunabishina nini kuhusu Jk kuwa dhaifu?Kama sikosehi kwenye bunge la mwaka juzi Samweli 6 akiwa kama speaker aliwahi kumuambia JK asiwe dhaifu kwenye maamuzi mazito, didn't he say that?Alafu mwaka jana hatukumisika JK's personal friend Edward Lowasa saying that JK government is weak in taking hard decision, didn't Edward Lowasa say that?Ask yourselves how can a weak government be lead by a strong precident, weak precident = weak government!
 
Hivi jamani tunabishina nini kuhusu Jk kuwa dhaifu?Kama sikosehi kwenye bunge la mwaka juzi Samweli 6 akiwa kama speaker aliwahi kumuambia JK asiwe dhaifu kwenye maamuzi mazito, didn't he say that?Alafu mwaka jana hatukumisika JK's personal friend Edward Lowasa saying that JK government is weak in taking hard decisions, didn't Edward Lowasa say that?Ask yourselves how can a weak government be lead by a strong precident, remember weak precident = weak government!
 
hakuonana na wafamasia pamoj na kuahidi... Lakini alitumia muda luongea na basetball
 
Back
Top Bottom