Nimpongeze tuu kuwa alitoka kuhudumia bar, ila ananiudhi kwa ulevi na bangi. Ni PHD holder ni mpjinga kama wengine pale UD wanaongalia dunia kwa mitazamo ya Degree walizonazo na kunagalia wingi wa wanafunzi wanaowaona ktk jamii wanajipa vichwa kuwa bado wanawazidi hao wanafunzi.
Bado hajaweza jua mengi kuhusu mitandaoa iliyopo na kazi zake. Kwake JF, facebook,Twitter,You tube ni kitu kimoja, bado SMS, USSD etc. hajui kuwa twitter iliumbwa kama web-SMS-tool yaashi kama web short message ndio maana kashambulia sana watu wanaotwit.
Kwa pamoja vitu hivyo huleta mapinduzi hasa kwa wote walio na utayari wa hilo,kwani kuna mataifa mengi tu ambayo yameleta mapinduzi kwa kupitia vyombo kama hivyo vya kijamii. Kikubwa ni kuwa na utayari wa mabadiliko.
Huyu ukimkuta bar lazima umwite wewe ant!!!! Hebu leta tursker mbili za baridiii niitie na kijana wa jikoni bila kusahau vocha ya Voda na embassy mbili
Kwani anahadhiri nini? Nauliza hivyo kwa kuwa pale UDSM kuna vitengo vingi kikiwemo kile ambacho hufanyia mazoezi ya vitendo kwenye jengo lililo[po chini ya cafeteria ya Manzese.
Namfahamu! Tulikuwa naye miaka hiyo ya huko nyuma pale chuoni. Alikuwa bingwa wa mazoezi ya viungo akifuatia mirindimo ya ngoma! Alikuwa bingwa wa maigizo!
kaacha bangi, sigara na ulevi? anaongea kama bado yupo ktk hangover. hajui technologies na malengo ya hizi technologies ndio maana analalama sana kwa uchache wa maneno mtu anavyotweet.Tweeter haikuundwa kuandika msg ndefu na ilitakiwa iwe fast na mara nyingi ifanye kazi ktk realtime km chat huku ikitract fans,face book imejumlisha yote,huku ikiwa inaujenga network ya friends na patners, forums(JF) ni open discussion platform(collaborative tool) of issues bila kujali muda, kuna blog ambayo ilipaswa kuwa kama personal diary kabla haija evolve na kuwa kama publishing website(citizen journalist tool), n.k .
Sasa huyu msomi kaingia choo cha kiume akiwa kalewa lazima adhalilike.Sasa hawa ndio washauri weny maringo ktk nchi.Sijui watapotosha kwa kiasi gani asasi za serikali na raia kama watamtumia ktk ushauri.
Wale wenzetu ambao wanajitokeza kufungua matawi bila kumuogopa Kamanda Kamuhanda kule Kilolo, Iringa au wale wanaotoka Misikitini siku ya Ijumaa kwenda makao makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ktk maandamano juu ya wale waliotiwa rumande waachiwe kwa dhamana au wale wanaojitokeza Salender Bridge kufunga barabara kufikisha ujumbe kwa serikali ndiyo WASHIKA MABANGO HADHARANI.
Je, sisi wanaJamiiforums hapa Tanzania pamoja na kutumia key-boards zetu tunaweza kujitokeza 'Tahrir Square' kukesha kudai mabadiliko au kuwa washika- mabango Jangwani, Kilolo kufungua matawi? Hebu tujiulize!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.