Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mkuu Mwita Maranya, akili ni nywele . . . .
JF imekuwa Mwiba siku zote kwa Vodacom kwa sababu ambazo ziko wazi hadi kuna watu wengi walitupa SIMM card za Voda . . . . Sasa iweje leo mbaya wako anakupongeza?
It is interesting yule jamaa anayekutukana kila siku huyo huyo unaenda kwa watu ukiwaambia Jamaa anayenitukana ni mtu mzuri. Unless kama unataka kumfunga mdomo kwa njia za kistaarabu of which Vodacom wanaelekea kufanikiwa kwa "likes" wanazopewa hapa.
Respect sana.
QED
Mkuu Superman hawa jamaa hawawezi kutughiribu. Wacha waipongeze JF lakini wakijichanganya watapata haki yao without fear or favour!
Last edited by a moderator: