Mike Mushi
JF-Expert Member
- Feb 10, 2006
- 253
- 572
Wakuu
Kwa muda sasa (miezi nane) tumekuwa tukihangaika kutengeneza huduma ambayo itatupa sisi uwezo wa kuweza kutumia watu ujumbe mfupi kwa njia ya simu (SMS) habari na mambo motomoto pale yanapoingia JamiiForums. Na lengo limekuwa pamoja na sisi kutuma hizo habari, basi iwe pia ni njia ya kupata kipato tuweze kujiendesha kwa ufanisi.
Katika harakati za kuanzisha huduma hii tuliamua kusajili 'short code' yetu TCRA (15346).
Tumekumbana na matatizo kwenye kukubaliana na makampuni ya simu, ili waweze kuwaunganisha wateja wao na hiyo short code yao kwenye mitambo yao sisi tuweze kuanza kutoa huduma:
TiGo walisema "NO" (Yes just the word NO bila maelezo zaidi) kwa proposal yetu.
Airtel & Zantel Revenue Sharing ilikuwa mbaya sana.
Vodacom wakakubali; Tunaanza na Vodcom kwa exclusivity deal ya miezi sita ya kwamba tusi-approach mitandao mingine kwa ajili ya kujiunga na baada ya hapo tutaweza ku approach tena mitandao mingine. Wao kwa upande wao Wata-advertise hii kampeni kwenye blog zote (Michuzi, Global Publisher, Millard Ayo.... na nyingine kama 20) na kama mambo yote yatakwenda kama tunavyotarajia, basi itatangazwa kwenye magazeti na radio. Na pia tutagawana mapato JF na Vodacom 50/50. Ambapo sisi (JF) hiyo 50 tutagawana na Aggregator (Kampuni inayo-handle maswala ya kuunganisha kati yetu sisi na vodacom) Makampuni yote Tigo, Airtel, Vodacom na Zantel revenue sharing ya premium sms kama sisi tunayotoa ni 75/25.
Kujiunga ili uweze kupata breaking news and news alerts kutoka JF Tuma sms "Jiunge JF" kwenda 15346
Vigezo na Masharti
1. Ujumbe zote zitatozwa gharama ya Tshs 150
2. Mteja hatatozwa kwa kujiunga ama kujitoa kutoka Jamii alerts
3. Mteja anakubaliana na vigezo na masharti za Jamii forums.
4. Jumbe zitatumwa kwa umuhimu na wakati habari zinapochipuka.
5. Huduma hii inapatikana kwa wateja wa Vodacom pekee (kwa kuanzia)
Ukipenda pia uwe unapokea taarifa kuhusu Biashara, Kazi, Mapenzi na Michezo ... Bonyeza hapa kujiunga
Unaruhusiwa kuwaambia Ndugu, Jamaa na Marafiki ambao hawapo JamiiForums kujisajili.
Kwa muda sasa (miezi nane) tumekuwa tukihangaika kutengeneza huduma ambayo itatupa sisi uwezo wa kuweza kutumia watu ujumbe mfupi kwa njia ya simu (SMS) habari na mambo motomoto pale yanapoingia JamiiForums. Na lengo limekuwa pamoja na sisi kutuma hizo habari, basi iwe pia ni njia ya kupata kipato tuweze kujiendesha kwa ufanisi.
Katika harakati za kuanzisha huduma hii tuliamua kusajili 'short code' yetu TCRA (15346).
Tumekumbana na matatizo kwenye kukubaliana na makampuni ya simu, ili waweze kuwaunganisha wateja wao na hiyo short code yao kwenye mitambo yao sisi tuweze kuanza kutoa huduma:
TiGo walisema "NO" (Yes just the word NO bila maelezo zaidi) kwa proposal yetu.
Airtel & Zantel Revenue Sharing ilikuwa mbaya sana.
Vodacom wakakubali; Tunaanza na Vodcom kwa exclusivity deal ya miezi sita ya kwamba tusi-approach mitandao mingine kwa ajili ya kujiunga na baada ya hapo tutaweza ku approach tena mitandao mingine. Wao kwa upande wao Wata-advertise hii kampeni kwenye blog zote (Michuzi, Global Publisher, Millard Ayo.... na nyingine kama 20) na kama mambo yote yatakwenda kama tunavyotarajia, basi itatangazwa kwenye magazeti na radio. Na pia tutagawana mapato JF na Vodacom 50/50. Ambapo sisi (JF) hiyo 50 tutagawana na Aggregator (Kampuni inayo-handle maswala ya kuunganisha kati yetu sisi na vodacom) Makampuni yote Tigo, Airtel, Vodacom na Zantel revenue sharing ya premium sms kama sisi tunayotoa ni 75/25.
Kujiunga ili uweze kupata breaking news and news alerts kutoka JF Tuma sms "Jiunge JF" kwenda 15346
Vigezo na Masharti
1. Ujumbe zote zitatozwa gharama ya Tshs 150
2. Mteja hatatozwa kwa kujiunga ama kujitoa kutoka Jamii alerts
3. Mteja anakubaliana na vigezo na masharti za Jamii forums.
4. Jumbe zitatumwa kwa umuhimu na wakati habari zinapochipuka.
5. Huduma hii inapatikana kwa wateja wa Vodacom pekee (kwa kuanzia)
Kujiondoa tuma neno Jiondoe JF kwenda 15346
Ukipenda pia uwe unapokea taarifa kuhusu Biashara, Kazi, Mapenzi na Michezo ... Bonyeza hapa kujiunga
Unaruhusiwa kuwaambia Ndugu, Jamaa na Marafiki ambao hawapo JamiiForums kujisajili.
Habari zitakazotumwa ni ambazo zimekuwa verified na JF administration