Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,439
- 92,803
Sawa nisiwakatishe tamaa mawakili wenyewe wa JF ni akina nani Pasco, MsandoAlberto na Gurudumu au nimekosea, angalizo tu adui mnayemwendea msim underestimate ana uwezo hata wa kuwaazima silaha bila nyie kutambua siku mkitaka kufyatua zikawa hazina risasi nafikiri umenielewa.
Kama na Pasco nae ni miongoni mwa mawakili basi hii kesi tumeshashindwa kabla haijaanza.