nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
swali la msingi sana!wanatamani humu kungejaa watu wa kuisifia ccm?si waanzishe ya kwao basi...First of all, what is wrong with being anti-CCM ?
hahaha, kaaazi kweli kweli! Wamezoea vya kunyonga, sasa inabidi watafute visu tu. JF hamna wa kufunga barabara wapite,na wakipita hakuna wa kusimama pembezoni mwa barabara kuwapungia na kupiga makofi.Nsiande, kina Kabwe na Slaa hawakukaribishwa; kwanini tuwape huo umuhimu hao watu wa sekretariati ya CCM? kwa ujiko gani walionao. Wanajua anuani ya JF - https://www.jamiiforums.com kuna mahali pale juu panasema register
3. Kuwasababishia wanachama usumbufu, kuwapa wasiwasi na kuwaumiza kisaikolojia?
Mwanakijiji / Maxence / Wanasheria wanachama wa JF / Wana JF
Je; Inawezekana kuiburuza CCM mahakamani na kudai Damages / Fidia kwa habari za:
1. Uongo
2. Kuivunjia Heshima na Hadhi JF
3. Kuwasababishia wanachama usumbufu, kuwapa wasiwasi na kuwaumiza kisaikolojia?
We dare to talk openly and we can also dare to DO openly.
JF should not take any "Bullshit" from CCM nor any Party nor the Government. We are simply a social network.
Why dont we give them a lesson? Tunaogopa nini au tunamwogopa nani?
Utaweza kweli kuyathibitisha hayo? That's just frivolous.
Nakubaliana kabisa na wewe muheshimiwa. JF ifungue kesi mahakamani. In Slaa's voice "Kama wanabisha mbona hawaendi mahakamani?"
NN upo? Ulikuwa wapi Mkuu? JF Man of the Year 2010? Una TZS 50,000 yako, tunakutumia vipi?
First of all, what is wrong with being anti-CCM ?
Daah ebana eeeeh.....hebu itabidi twende chemba babu. Kwa jinsi nilivyofulia siwezi kukiachia hicho kitita kipotee hivi hivi....
Mimi siungi mkono hoja ya kwenda mahakamani kwa ninavyozijua mahakama zetu CCM wataona ni nafasi ya kujipatia credit. Hii ya JF admini kukanusha inatosha sana, Msekwa na washauri wake walidhani wanaichafua JF kumbe ndiyo wanaitangaza.Mwanakijiji / Maxence / Wanasheria wanachama wa JF / Wana JF
Je; Inawezekana kuiburuza CCM mahakamani na kudai Damages / Fidia kwa habari za:
1. Uongo
2. Kuivunjia Heshima na Hadhi JF
3. Kuwasababishia wanachama usumbufu, kuwapa wasiwasi na kuwaumiza kisaikolojia?
We dare to talk openly and we can also dare to DO openly.
JF should not take any "Bullshit" from CCM nor any Party nor the Government. We are simply a social network.
Why dont we give them a lesson? Tunaogopa nini au tunamwogopa nani?
Mimi siungi mkono hoja ya kwenda mahakamani kwa ninavyozijua mahakama zetu CCM wataona ni nafasi ya kujipatia credit. Hii ya JF admini kukanusha inatosha sana, Msekwa na washauri wake walidhani wanaichafua JF kumbe ndiyo wanaitangaza.
Mwanakijiji / Maxence / Wanasheria wanachama wa JF / Wana JF
Je; Inawezekana kuiburuza CCM mahakamani na kudai Damages / Fidia kwa habari za:
1. Uongo
2. Kuivunjia Heshima na Hadhi JF
3. Kuwasababishia wanachama usumbufu, kuwapa wasiwasi na kuwaumiza kisaikolojia?
We dare to talk openly and we can also dare to DO openly.
JF should not take any "Bullshit" from CCM nor any Party nor the Government. We are simply a social network.
Why dont we give them a lesson? Tunaogopa nini au tunamwogopa nani?
Nyani Ngabu,
Sasa kama huwezi kuacha kitita kwa sababu umefulia hawa jamaa wakikutangulizia ankara ya kutosha kupitia RA si utatoa ushahidi dhidi ya JF mpwa? Si unaona sasa hata wale wanachama wa JF walipopokea taarifa ya mikopo ya bunge ghafla wakaingia chemba hatujawasikia tena!
Kufulia si mchezo na hasa adui akijua njaa imekamata lazima akuwekee mtego mpwa!