Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Jamiiforums imekuwa social network iliyowavutia na inawavutia vijana wengi wakubwa kwa wadogo
Jf imekuwa tofauti na social network nyingine hapa tanzania maana ina mlengo tofauti.
Jf imeweza kubadili fikra za wasomaji wakubwa kwa wadogo, mpka naleta hii thread nilitaka kujua kama JF
ina madhara gani kwa jamii inayolegwa
Jf imekuwa tofauti na social network nyingine hapa tanzania maana ina mlengo tofauti.
Jf imeweza kubadili fikra za wasomaji wakubwa kwa wadogo, mpka naleta hii thread nilitaka kujua kama JF
ina madhara gani kwa jamii inayolegwa