Mangimeli
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,151
- 286
Unacho takiwa kufanya unaingia kwenye app store ikisha kubal unaingia kwenye Sachi kisha unaandika Whatsap utaletewa baada yah apo Utai download nakuanza kutumia Kwan hata mm natumia iphone 4
Ata mimi natumia iphone 4, kwa iyo?