JamiiForums Exclusive: Kiranga and Fellow members English Debate

For NN naona hata kwenye mambo ya lahaja, tashtiti na takriri yumo, mambo debate kama hizi za kamumbas tayari kashasuha mawe kama ( marquee match up) nipo na dictionary karibu

Where is ze time keeper

weka basi tafsiri yai unajua wengine hatuna dikhsenari ..
 
Kumbe ni kila m'bongo akisifiwa kidogo anaanza maringo!?acheni kuringa nyie maboya..

Umenikosa mkuu.

Kanuni yangu ni kwamba, naenda kwa dira yangu ya ndani na vitu viwili ambavyo haviwezi kunibadilisha ni sifa na lawama.

Ni rahisi sana kupata bichwa kwa sababu mtu kaanzisha uzi huu kwa jina lako, ukasahau kwamba kanuni yako ya msingi ni kutoshiriki katika maigizo na sarakasi za kufurahisha baraza tu.

Maringo halisi yangekuwa kama ningekubali kuingia katika uanasesere huu, mbali na kanuni zangu, kujionyesha tu kwamba mie ni kijini-ujuvi kama nilivyosifiwa.

Lakini kwa sababu nina kanuni ya kutoyumbishwa na sifa wala lawama, siwezi kubadili muelekeo ili kufurahisha baraza tu.

Mtu akianzisha mjadala ninaoupenda, bila hata kuweka bango kubwa, utaniona tu namwaga vitu.

Lakini habari za kugeuzana wanasesere mie sitaki.

Ushanielewa?
 
Umenikosa mkuu.

Kanuni yangu ni kwamba, naenda kwa dira yangu ya ndani na vitu viwili ambavyo haviwezi kunibadilisha ni sifa na lawama.

Ni rahisi sana kupata bichwa kwa sababu mtu kaanzisha uzi huu kwa jina lako, ukasahau kwamba kanuni yako ya msingi ni kutoshiriki katika maigizo na sarakasi za kufurahisha baraza tu.

Maringo halisi yangekuwa kama ningekubali kuingia katika uanasesere huu, mbali na kanuni zangu, kujionyesha tu kwamba mie ni kijini-ujuvi kama nilivyosifiwa.

Lakini kwa sababu nina kanuni ya kutoyumbishwa na sifa wala lawama, siwezi kubadili muelekeo ili kufurahisha baraza tu.

Mtu akianzisha mjadala ninaoupenda, bila hata kuweka bango kubwa, utaniona tu namwaga vitu.

Lakini habari za kugeuzana wanasesere mie sitaki.

Ushanielewa?

Kuntu!
 
mwita tunakusubiri,unakuja na kuondoka,dont act significantly counterproductive way,leo hatulali tunataka tuone uwezo wako!!
 
Nadhani hiyo komepetisheni haitoanza mpaka Spika Gaijin atokee na kukata utepe. Na mimi nishajiunga tena nimekaa kiti cha mbele ili niyaone vizuri hayo masumbwi ya un'gen'ge wakati yakirushwa kati ya mashujaa hawa wawili!
 
Nchi yetu haiwezi kuendelea mpaka watu wetu watakapoacha kuridhika kirahisi, kama kumuona Kiranga mwanazamivu kama jini-ujuvi kwa sababu tu anaweza kudunga uzi wa sentensi za maneno mazuri.

Nataka kuanzisha kigazeti kinachohusu mambo ya nishati tu. Nishati, matumizi bora ya nishati, nishati na maendeleo vijijini. Njia za kutanua wigo wa nishati mbadala. Kuondoa utegemezi wa kuni vijijini. Kusaidia kinamama waepuke moshi katika kupika. Tunawezaje kunufaika na mifano ya wengine walioanza kabla kutumia nishati mbadala.Na mambo kama hayo.

Kama kipo tayari nitafurahi kukijua ili nijue kipi cha kuongezwa.

Ngoma huanza na lele, na miye hicho kigazeti ndicho kitakuwa lele langu kabla hata kupasuka msamba na makubwa.
Safi mkuu, i will support in anyways kama ukihitaji msaada wa aina yoyote mkuu katika ufanikishaji, ama hata kutujulisha ili tuvipate vijarida hivyo, thread ni nzuri ofcourse it has brought the best out of you.
 
As a way of raising money for JF, I've got a grand idea.

Why not have this showdown live of pay-per view? And the money collected will go to the JF support fund.

The problem is they think we are Mr beaning them lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom