Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Sijui kwanini JF inakuwa na moderator wa kitu gani? Wacha watu wajinafasi. Kima mods hamna kazi nyingine?
Ili muendelee kutukana baadaye muanze kudai kuwa JF imekosa mvuto?
Sijui kwanini JF inakuwa na moderator wa kitu gani? Wacha watu wajinafasi. Kima mods hamna kazi nyingine?
We lengo lako hasa ni nini?ndugu zang hebu nisaidien hii website ya jamiiforum imetengenezwa na tools gan?coz mi najua joomla,wordpress etc.nijuzen jaman wana IT
Lakini nimeona forum nyingi ambazo zimetumia vbulletin, ni lazima vbulletin waache signature yao kwenye footer hata kama ni paid, inakuwaje hii jf haina hiyo signature?vbulletin moja kati ya script za bei kubwa sana
Lakini nimeona forum nyingi ambazo zimetumia vbulletin, ni lazima vbulletin waache signature yao kwenye footer hata kama ni paid, inakuwaje hii jf haina hiyo signature?