Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Nafurah kuona skulmates tuko wengi sana. Aisee huyu mbaba nlikuwa namwogopa balaa, kwenye kipindi chake nilikuwa hata sikohoi, kalamu ikidondoka siokoti mpaka kipindi kiishe!..lol.
mimi nilichukua biashara so Gidasaida, Msomali na Marehemu Juma walikuwa hawanipati.......