Hatueleweki ni lugha ipi tunayoongea. Kwenye sentensi moja kuna lugha mbili, Kiswahili na Kiingereza. Tuamue moja, ukichangia changia kwa lugha moja eidha Kiingereza ama Kiswahili.
Hatueleweki ni lugha ipi tunayoongea. Kwenye sentensi moja kuna lugha mbili, Kiswahili na Kiingereza. Tuamue moja, ukichangia changia kwa lugha moja eidha Kiingereza ama Kiswahili.
Kwanini unaibia lugha? ni vyema ungeandika "mstari mmoja wa maneno kuna lugha......"