afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
bebii,,,
hebu anza kuangalia kuazia Afrodenzi, Preta, Lizzy..
nakushangaa wewe umeka picha ya kababy!! au ndio unapotray ubebii?
mkuu ningependa kukushukuru sana
kwa kupenda avatar zetu ......
Huyu Bebii bado Yumo si alishaga wana jf?
Bebii Nitambulishe kwa Afrodenzi nimemuhusudu.
mwehhh jamnai AD hang'ati waweza
kumsalimu tu .. anashukuru sana ...
na anauliza utamualika huo msosi
mmmhhhh