Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Mwisho wa vita hauwi mzuri kwa mshindwaji! lakini unakuwa wa furaha kwa washindi hasa waliopigana usiku na mchana. Watu waliotayari kupika pilau na kunywa vileo kwa kushangilia ushindi hata kama bado mwanzo mbichi, lakini dalili ya mvua si mawingu?
Ukitaka kuua Jamii forum ni kazi ndogo, Pelekeni mafisadi jela, taifisha mali zao zote wagawie maskini!
Ukitaka kuua jamii forums na kuwakata kauli watu, wamiliki wote wa kagoda tuwajue na hatutaki usanii wowote ule, ama sivyo jamii forum haitakufa, watu wataongea hata kama kwa ishara, tutatuma ujumbe kuanzia kuzimu mpaka kwenye sayari ya pluto.
Nasema ukitaka kuua Jamii forums, wasizungumzie tena siasa fanya watakavyo wao, ongozeni kwa hekima na maarifa makubwa huku Haki ikitawala.
Pengine hivi karibuni jamii forum itakufa,pale ambapo TZ itakapokuwa kama peponi ya duniani, huku kila mmoja akitamani kuishi Tanzania.
Nasema ukitaka kuwanyamazisha hawa watu wasiongelee siasa ni rahisi sana muziki wa YONA NA MRAMBA uendelee, hata hivyo wataacha kuzungumzia siasa watazungumzia ushindi!!,Kipi bora kufurahia kwa ushindi kiduchu tunaouona au kuwa katika matumaini ya kuwakamata watuhumiwa wote wa ufisadi kesho? haitawezekana kidogokidogo namna hii ina dalili zake ati!!, wenyewe watakosana watatajana tutakaa pembeni tukiwaona wanavyoumana,
Na hapo tutazidi kupashana kwa habari kwa furaha zaidi kuwa CCM wamemeguka hili halitakuwa la kupiga kelele watakuwa wametunyamazisha kuongea siasa na mafisadi! ila tutaongelea kuhusu ushindi huo pia!
Au wewe unafikiri nini kifanyike Kuinyamazisha JF??
nawasilisha
waberoya
Ukitaka kuua Jamii forum ni kazi ndogo, Pelekeni mafisadi jela, taifisha mali zao zote wagawie maskini!
Ukitaka kuua jamii forums na kuwakata kauli watu, wamiliki wote wa kagoda tuwajue na hatutaki usanii wowote ule, ama sivyo jamii forum haitakufa, watu wataongea hata kama kwa ishara, tutatuma ujumbe kuanzia kuzimu mpaka kwenye sayari ya pluto.
Nasema ukitaka kuua Jamii forums, wasizungumzie tena siasa fanya watakavyo wao, ongozeni kwa hekima na maarifa makubwa huku Haki ikitawala.
Pengine hivi karibuni jamii forum itakufa,pale ambapo TZ itakapokuwa kama peponi ya duniani, huku kila mmoja akitamani kuishi Tanzania.
Nasema ukitaka kuwanyamazisha hawa watu wasiongelee siasa ni rahisi sana muziki wa YONA NA MRAMBA uendelee, hata hivyo wataacha kuzungumzia siasa watazungumzia ushindi!!,Kipi bora kufurahia kwa ushindi kiduchu tunaouona au kuwa katika matumaini ya kuwakamata watuhumiwa wote wa ufisadi kesho? haitawezekana kidogokidogo namna hii ina dalili zake ati!!, wenyewe watakosana watatajana tutakaa pembeni tukiwaona wanavyoumana,
Na hapo tutazidi kupashana kwa habari kwa furaha zaidi kuwa CCM wamemeguka hili halitakuwa la kupiga kelele watakuwa wametunyamazisha kuongea siasa na mafisadi! ila tutaongelea kuhusu ushindi huo pia!
Au wewe unafikiri nini kifanyike Kuinyamazisha JF??
nawasilisha
waberoya