mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Mbona wanachelewa? au kwa vile thread hii haijaletwa na TUNTEMEKE?Watakuja......
Mbona wanachelewa? au kwa vile thread hii haijaletwa na TUNTEMEKE?Watakuja......
Bila shaka mmoja wa Majambazi ametuthibitishia hilo!!........Now confirmed CCM stands for CHAMA CHA MAJAMBAZI
hata km si kudhoofisha, inawezekana kumuandalia makao baada ya anguko takatifu la CCM na kambi zake zote.
Ni kweli kwani tatizo liko wapi mbona hata Slaa alikuwa kambi ya Lowassa.Huyu si ndiye alikuwa anasemekana yupo kambi ya Lowassa??
teh teh teh!Huyu El tunamkuza tu! Kijana apokelewe kama mwanachama wa kawaida tu.
Bado nina imani na Mwigamba, atamtuliza tu....
Hamna cha El wala bibi yake El, tumempiga alipotuletea Batilda, tukampiga Arumeru alipotuletea Mkwe wake!
Natangaza simuogopi EL , sababu hamna cha kufanya aogopwe.
Mtu anionyeshe nilipokosea!
Source radio 5 arusha!
Anaongea kwa hasira sana akisema CCM siyo baba wala mama yake! Anadai chama kinatumia fedha za walipa kodi kuzunguka nchi nzima kumchafua.
Hapo CCM wanaandaa mpango wa kuicukua Arusha mjini.
huyu jamaa ni kama akina SHIBUDA na wenzake,wakati mwingine CDM wawe na kasumba ya kuwa na uvumilivu wa kuwasoma watu,hii tabia ya kukubali matakwa ya kila mwansiaasa.mtayavua mabua
Lowassa hana sababu ya kuwahujumu chadema kwa sasa. Inaonekana tu Milly ameona chadema kwa sasa ndio chama muafakaNina wasiwasi katumwa na kambi ya Lowasa kuwadhoofisha CDM.