Watakuja......Wapi Ritz,Rejeo,Kimbunga na Waberoya? Jamani nataka kusikia chochote kutoka kwenu!
Kuchagua thread za kuchangia siyo vizuri....toeni coment zenu kwenye thread hii pia.
Kuwa macho!!!!!! utafungulia mlango na majambazi ukisikia hodi uliza ni nani ikishindikana chungulia kwenye dirisha angalia kama mpiga hodi unamfahamu.
Bado sielewi! Nani kasema kuwa Millya kahamia DCM?Source radio 5 arusha!
Anaongea kwa hasira sana akisema CCM siyo baba wala mama yake! Anadai chama kinatumia fedha za walipa kodi kuzunguka nchi nzima kumchafua.
Ni mtu makini anayejiamini sana , , ni kiongozi mzuri sana ,elimu nzuri ashirikiane na wapiganaji wengine kukomboa Taifa hasa maeneo ya umasaini ni matumaini yangu wengi watamfuata James Milya ni uamuzi wa wakati . hongera milya ulikuwa umepotea sasa umerudi nyumbani shirikiana na Makamanda wengine kuleta ukombozi
acha kudangnya mchana kweupe.mbona slaa alihoji kwa nini lowassa atoe maji arumeru na kupeleka monduli wakati watu wa arumeru hawajasambaziwa maji.hiyo ni baada ya lowassa kunadi kuwa endapo wanaarumeru wangemchagua sioi maji yangetiririka kama mvua.
nafikiri hivyo pia, najikuta sina imani sana na huyu raia, EL ana rangi nyingi sana, possible kamtuma mtu wa kumuandalia makao.
Dogo Millya, naona anataka kuchukuwa nafasi ya Lema, kweli kwenye siasa hakuna adui wa kudumu wala rafiki wakudumu...
Nami pia nina wasiwasi na EL
Huyu El tunamkuza tu! Kijana apokelewe kama mwanachama wa kawaida tu.
Bado nina imani na Mwigamba, atamtuliza tu....
Hamna cha El wala bibi yake El, tumempiga alipotuletea Batilda, tukampiga Arumeru alipotuletea Mkwe wake!
Natangaza simuogopi EL , sababu hamna cha kufanya aogopwe.
Mtu anionyeshe nilipokosea!