Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Mwenyekiti James Ole Milya amejiengua CCM.
Kwa hasira sana akisema CCM siyo baba wala mama yake! Anasema chama kinatumia fedha za walipa kodi kuzunguka nchi nzima kumchafua.
Kwa mara ya mwisho huyu jamaa kamwagwa kwenye kinyang'anyilo cha ubunge EAC kwenye ngazi ya chini kabisa ya kamati kuu ya chama (CCM) inaezekana ikawa ndo sababu kuu ya msingi.. laini mimi na wewe hatuji
kwa habari zaidi keep in touch with JF
Source radio 5 arusha!
Kwa mara ya mwisho huyu jamaa kamwagwa kwenye kinyang'anyilo cha ubunge EAC kwenye ngazi ya chini kabisa ya kamati kuu ya chama (CCM) inaezekana ikawa ndo sababu kuu ya msingi.. laini mimi na wewe hatuji
kwa habari zaidi keep in touch with JF
Source radio 5 arusha!