Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Bw Jemus Mbatia ameandika demand note Kwa gazeti la NIPASHE kutaka Reginald Mengi amlipe 1bils kutkana na gazeti lake kuandika habari za Kikao Cha NEC NCCR, ambacho Wajumbe walimutuhumu Jemus Mbatia kuwa ni Kibaraka wa CCM hivyo kumutaka ajieleze kwa kumupa siku 21.
Baada ya Tamko la NEC na muda aliopewa kuisha, Wajumbe wa Mikoa ya KIGOMA, MBEYA, ZANZIBAR wameunga mkono Mbatia kuondolewa kutokana na kukosa mvuto wa kisiasa na kutoa msimamo wa kuunga mkono CCM!
Jambo la Kushangaza, James Mbatia hawashitaki Wajumbe wa NEC, wala Wanyeviti katika Mikoa ambao licha ya kuongea na vyombo vya habari, wameandika Waraka na kusaini Wakielezea kuwa Mbatia ni Kibaraka wa CCM(CCM-C)
Kesi ya kipuuzi kama hiyo, Mbatia amefungua kesi ya kupinga Matokeo ya uchaguzi Jimbo la Kawe ambapo yeye Mbatia alishindwa na Wanawake Wawili na yeye kuwa wa tatu.
Hata kama NEC watatengua matokeo hayo bado hawezi kushinda!
Kesi hiyo Mbatia alifungua muda mfupi baada ya aliyekuwa katibu Mkuu CCM BW Yusufu Makamba kuandika waraka kuwataka wabunge wote wa CCM walioshindwa katika uchaguzi 2010 kufungua kesi kupinga matokeo hayo na CCM imekuwa ikifadhili kesi hizo.
Hata hivyo Yusufu Makamba amejivua Gamba muda mfupi baada ya kuimarisha kambi ya upinzani na alitoa Wosia wa kwenda kuwandalia Makao waliobaki!
Baada ya Tamko la NEC na muda aliopewa kuisha, Wajumbe wa Mikoa ya KIGOMA, MBEYA, ZANZIBAR wameunga mkono Mbatia kuondolewa kutokana na kukosa mvuto wa kisiasa na kutoa msimamo wa kuunga mkono CCM!
Jambo la Kushangaza, James Mbatia hawashitaki Wajumbe wa NEC, wala Wanyeviti katika Mikoa ambao licha ya kuongea na vyombo vya habari, wameandika Waraka na kusaini Wakielezea kuwa Mbatia ni Kibaraka wa CCM(CCM-C)
Kesi ya kipuuzi kama hiyo, Mbatia amefungua kesi ya kupinga Matokeo ya uchaguzi Jimbo la Kawe ambapo yeye Mbatia alishindwa na Wanawake Wawili na yeye kuwa wa tatu.
Hata kama NEC watatengua matokeo hayo bado hawezi kushinda!
Kesi hiyo Mbatia alifungua muda mfupi baada ya aliyekuwa katibu Mkuu CCM BW Yusufu Makamba kuandika waraka kuwataka wabunge wote wa CCM walioshindwa katika uchaguzi 2010 kufungua kesi kupinga matokeo hayo na CCM imekuwa ikifadhili kesi hizo.
Hata hivyo Yusufu Makamba amejivua Gamba muda mfupi baada ya kuimarisha kambi ya upinzani na alitoa Wosia wa kwenda kuwandalia Makao waliobaki!