James Katie: Mjue vizuri kiungo 'matata' Mghana anayetarajiwa kusaini Simba

Zulu Mwaka 2005-2007 app 0 goals0
2007-2009 Hapoel beter sheva
App 23 goal 1
2009-2010 Hapoel bei lod
App 31 goal 1
2010 -2012 Hapoel rishon
App 50 goals 3
2012-2013 Lamontville golven arrows
App 4 goals 0
Kabwe United 2014
App 0 goals 0
Zesco United
App 0 goals 0

Linganisha APPEARANCE za hawa watu wawili.

Mmoja kacheza mechi 8 tu. Kwenye ligi ya kiwango cha chini kama Oman....


Mwingine kacheza mechi lukuki. Kwenye ligi kubwa kama ya Israel.....
 
Kiungo mkabaji hapimwi kwa goals na assists, anapimwa kwa tackles, interceptions nk. Kante msimu uloisha alikua kiungo anayeheshimika alifunga magoli mangapi?
 
Justin ZULU

1481204826397.png



James KOTEI
1481204885531.png


Linganisha hapo. Then tell ungependa umchague nani....
 
Linganisha miaka waliyocheza .Zulu kacheza huko Israel miaka 5 iliyopita. Kuanzia 2012 mpaka leo kacheza mechi ngapi?
 
Aliyecheza recently. Kumchagua aliyecheza mwaka 2012 na kuanzia 2013 mpaka leo ana appearance 4 ni kuchagua ujinga.
 
Lakini sioni ajabu mlishaleta wachezaji Mba kutoka Cameroon mwenye miguu miwili ya kushoto,Sherman kutoka Liberia tukaambiwa ni mdogo wake George Weah,Wauza nyanya kutoka Brasilien Jaja na Coutinho wa kuchonga na winga kutoka Charlotte ambaye hakucheza msimu mzima kabla ya kujiunga na migongo wazi.
 
Kiungo mkabaji si rahisi kupata nafasi ya kufunga magoli. Kwa mfano, hapa Bongo, nitajie kiungo mkabaji unayedhani ni mahiri kuliko wote katika ligi kuu ya vodacom, halafu uniambie katika mechi 15 za raundi ya kwanza amefunga mabao mangapi
Jonas Mkude wa Yanga! Ooh sory ulimi umeteleza ni James Mkude wa Simba.
 
Kumtathimini kiungo mkabaji kwa idadi ya magoli ya kufunga ni moja ya vituko vya kufungia mwaka huu.

Ila niko concerned na historia yake, kama kweli mtoa mada katoa taarifa sahihi, basi maana yake huyu sio mchezaji aliyetengeneza jina popote kwa kuwa tegemeo. Kuna 'red flag' nyingi kumhusu. Nina wasiwasi sana na wachezaji wa kimataifa wanaokuja kwa majaribio.

Hatutaki tena mambo ya kina akina Jaja
 
Kutoka Zesco United .Sorry nilifikiri unaulizia yule mchezaji ambaye hajacheza mwaka mzima.
 

James Zuttah! ndio namkumbuka sana yule.


Huwaga Dar es Salaam Young Africans SC hawana kawaida ya kusajili galasa. Na ikitokea, basi ni mara moja katika miaka 6.

Sasa hawa Wamatopeni kule Msimbazi wao wanasajili galasa juu ya galasa.... Miaka 3 iliyopita wamesajili jumla ya magalasa 6.

1. Sserenkuma
2. Kiongera
3. Papa Ndaw
4. Pada Niang
5. Nimubona
6. Kwizera.


Hawa jamaa kama wanafanya kubahatisha tu kwenye suala la usajili.
Mkuu umesahau foward yao hatari iitwayo Akufo
 
Huyu galasa ambalo halijacheza mpira mwaka mzima limeonyesha wazi kwamba ni gunia la misumari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom