James Katie: Mjue vizuri kiungo 'matata' Mghana anayetarajiwa kusaini Simba

Hongereni watani kwa kupata kiungo mkabaji aliecheza mechi nane msimu mzima,hao ndio wachezaji wenu wa kimataifa halafu mnataka refa toka nje tehtehtehteh
 
Kapombe kafunga ngapi msimu huu?Ni kiungo mkabaji?Mtaje kiungo mkabaji mwenye magoli mengi ikiwa kazi yake ni kufunga?
Tofauti yake itaonekana atakapofanya majaribio akifaulu sawa akifeli atarudi kwao. Povu la nini?Zulu kafunga magoli 20 na ngapi?Obsession itakupa blood pressure.
Usiwe kama mshamba bhana....

Kapombe amecheza mechi ngapi msimu huu.. ? Je zinazidi 3.?

Namzungumzia Kapombe wa msimu uliopita. aliye maliza ligi akiwa na magoli mengi kuliko Mkude.
 
Usibanie pua.Unamlinganisha na Mkude kwani nyie hamna kiungo mkabaji?Nae alizidiwa na Kapombe?Zulu kafunga ngapi?Mbona unakuwa kama manzi mwenye ujauzito kuchagua cha kujibu. Au isije ikawa najibishana 1/4.
 
Mnamkumbuka Joseph tetteh zuttah beki wa Yanga kutoka Ghana...huyu ni galasa.. watu wa magharibi tena kijana mdogo aje bongo badala ya kwenda hata ulaya mashariki?
 
Mnakurupuka kwani Zulu kacheza mechi ngapi?Msimu mzima?Kawaida ya nyani haoni kundule.
 
Mnamkumbuka Joseph tetteh zuttah beki wa Yanga kutoka Ghana...huyu ni galasa.. watu wa magharibi tena kijana mdogo aje bongo badala ya kwenda hata ulaya mashariki?

James Zuttah! ndio namkumbuka sana yule.


Huwaga Dar es Salaam Young Africans SC hawana kawaida ya kusajili galasa. Na ikitokea, basi ni mara moja katika miaka 6.

Sasa hawa Wamatopeni kule Msimbazi wao wanasajili galasa juu ya galasa.... Miaka 3 iliyopita wamesajili jumla ya magalasa 6.

1. Sserenkuma
2. Kiongera
3. Papa Ndaw
4. Pada Niang
5. Nimubona
6. Kwizera.


Hawa jamaa kama wanafanya kubahatisha tu kwenye suala la usajili.
 
Mnakurupuka kwani Zulu kacheza mechi ngapi?Msimu mzima?Kawaida ya nyani haoni kundule.
Unachotakiwa kujua kwa sasa kuwa Yanga haijawahi bahatisha kwenye Usajili.... Inatokea mara nadra sana.. Yaani kama mara 1 tu kwa misimu 3.

Sasa nyinyi... Mmesajili magalasa 6 na kuyaacha yote 6 katika nyakati tofauti tofauti.. Huku Yanga ikiwa na kikosi chake kilekile..

Kuwa na Amani uonapo yanga inarecruit new players...
 

James Zuttah! ndio namkumbuka sana yule.


Huwaga Dar es Salaam Young Africans SC hawana kawaida ya kusajili galasa. Na ikitokea, basi ni mara moja katika miaka 6.

Sasa hawa Wamatopeni kule Msimbazi wao wanasajili galasa juu ya galasa.... Miaka 3 iliyopita wamesajili jumla ya magalasa 6.

1. Sserenkuma
2. Kiongera
3. Papa Ndaw
4. Pada Niang
5. Nimubona
6. Kwizera.


Hawa jamaa kama wanafanya kubahatisha tu kwenye suala la usajili.
kuna galasa moja umelisahau.......ni fowad
 
... aliifungia timu yake mabao matatu tu.. yaani (3) .
... akiwa BA Stars FC kwa msimu mmoja wa 2014/15 alifanikiwa kuifungia timu yake hiyo ya daraja la pili bao moja tu.... yaani bao (1)
.... Ikumbukwe kuwa msimu mzima akiwa hapa alifanikiwa kufunga mabao sifuri... yaani (0)/ziro..
Kiungo mkabaji si rahisi kupata nafasi ya kufunga magoli. Kwa mfano, hapa Bongo, nitajie kiungo mkabaji unayedhani ni mahiri kuliko wote katika ligi kuu ya vodacom, halafu uniambie katika mechi 15 za raundi ya kwanza amefunga mabao mangapi
 
Anaitwa - James Agyekum Kotei.
Amezaliwa - 10.10.1993 (23).
Nafasi - Kiungo mkabaji.

Amekuzwa na kulelewa kisoka kwenye academy inayoitwa "Golden Foot Academy". (2007 - 2009)

LIBERTY PROFESSIONALS FC

Akapana nafasi ya kusajiliwa na moja ya Klabu inayoshiriki ligi kuu Ghana iitwayo "Liberty Professionals Football Club".
Au Liberty Professionals FC - ( 2010 - 2015). Kwa kipindi cha miaka hiyo minne (sawa na misimu 4, ukiondoa msimu wa mwaka 2014/15) aliyodumu hapo Klabuni, James KOTEI aliifungia timu yake mabao matatu tu.. yaani (3) . Akiwa Liberty James KATEI alishindwa kuwa mchezaji wa kutegemewa kikosini..... Hivyo basi kwa kipindi cha miaka yote hiyo minne amekuwa akitumika kama mchezaji wa ziada kikosini.
Kutokana na maboresho yaliyofanyika klabuni hapo mwishoni mwa mwaka 2014. James KATEI alijikuta akitolewa kwa mkopo kwenda klabu inayoshiriki ligi daraja la pili huko Ghana iitwayo "Brong Ahafo Stars Football Club" a.k.a BA Stars FC.

BA STARS FC

James KATEI akiwa BA Stars FC kwa msimu mmoja wa 2014/15 alifanikiwa kuifungia timu yake hiyo ya daraja la pili bao moja tu.... yaani bao (1) . Baada ya msimu huo kuisha na kufanikiwa kuifungia timu yake bao hilo 1, wakala (Agent) wa James KOTEI anamtafutia klabu nje ya Ghana ili akafanye majaribio.

AL OROUBA SC

Msimu wa mwaka 2015/16 James KATEI anafanya majaribio kwenye klabu moja huko OMAN.. Iitwayo "Al-Orouba SC"....inayoshiriki ligi kuu. (Moja ya klabu inayoshiriki ligi kuu hiyo ni Fanja United aliposajiliwa "Mrisho Ngassa". Ikumbukwe Ngassa karudi Mbeya City FC).


Akiwa amesajiliwa Orouba SC ya Oman, Mchezaji huyu James KATEI amefanikiwa kucheza mechi nane tu... yaani 8 Kati ya mechi zote za msimu huo wa 2015/16.

Kati ya hizo mechi 8 . Ni mechi 5 tu za LigiKuu, mechi 3 za kombe la Shirikisho (Huku Bongo tunaliita Azam sports Federation Cup). Kati ya mechi 5 za LigiKuu ni 2 alizo anza na kucheza dakika zote 90. Ikumbukwe kuwa msimu mzima akiwa hapa alifanikiwa kufunga mabao sifuri... yaani (0)/ziro
Baada ya msimu kuisha mwezi wa 5/2016, James KATEI amekuwa ni Free agent. Hakuwa anajihusika na Klabu yeyote ile tangu mwezi wa 5 mpaka sasa mwezi wa 12.
View attachment 443662

SIMBA SC

Mnamo mwezi wa 12/2016. Klabu ya Simba SC ipo tayari kumwaga mamilioni ya fedha kumsajili Kiungo huyu matata ili aiwezeshe Klabu hiyo yenye makazi yake mitaa ya Msimbazi.. Kutwaa ubingwa wa VPL.

Nawasilisha:-
Nikitu kidogo tu ambacho watanzania hua tunakosea,,
 
Zulu Mwaka 2005-2007 app 0 goals0
2007-2009 Hapoel beter sheva
App 23 goal 1
2009-2010 Hapoel bei lod
App 31 goal 1
2010 -2012 Hapoel rishon
App 50 goals 3
2012-2013 Lamontville golven arrows
App 4 goals 0
Kabwe United 2014
App 0 goals 0
Zesco United
App 0 goals 0
 
hahaaa unaweza hata kusajili kipa na ukamjudge kafunga magoli mangapi..kwa upande wangu naona angekua mshambuliaj ndo tuangalie idad ya magoli aliyofunga
 
Zulu Mwaka 2005-2007 app 0 goals0
2007-2009 Hapoel beter sheva
App 23 goal 1
2009-2010 Hapoel bei lod
App 31 goal 1
2010 -2012 Hapoel rishon
App 50 goals 3
2012-2013 Lamontville golven arrows
App 4 goals 0
Kabwe United 2014
App 0 goals 0
Zesco United
App 0 goals 0
Ahahaahahhaha.... Takwimuuuuu hatareeee.

Hapa naona nyani wanachekana mikundule yao... Ahahahhahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom