James Katie: Mjue vizuri kiungo 'matata' Mghana anayetarajiwa kusaini Simba

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,250
15,116
Anaitwa - James Agyekum Kotei.
Amezaliwa - 10.10.1993 (23).
Nafasi - Kiungo mkabaji.

Amekuzwa na kulelewa kisoka kwenye academy inayoitwa "Golden Foot Academy". (2007 - 2009)

LIBERTY PROFESSIONALS FC

Akapana nafasi ya kusajiliwa na moja ya Klabu inayoshiriki ligi kuu Ghana iitwayo "Liberty Professionals Football Club".
Au Liberty Professionals FC - ( 2010 - 2015). Kwa kipindi cha miaka hiyo minne (sawa na misimu 4, ukiondoa msimu wa mwaka 2014/15) aliyodumu hapo Klabuni, James KOTEI aliifungia timu yake mabao matatu tu.. yaani (3) . Akiwa Liberty James KATEI alishindwa kuwa mchezaji wa kutegemewa kikosini..... Hivyo basi kwa kipindi cha miaka yote hiyo minne amekuwa akitumika kama mchezaji wa ziada kikosini.
Kutokana na maboresho yaliyofanyika klabuni hapo mwishoni mwa mwaka 2014. James KATEI alijikuta akitolewa kwa mkopo kwenda klabu inayoshiriki ligi daraja la pili huko Ghana iitwayo "Brong Ahafo Stars Football Club" a.k.a BA Stars FC.

BA STARS FC

James KATEI akiwa BA Stars FC kwa msimu mmoja wa 2014/15 alifanikiwa kuifungia timu yake hiyo ya daraja la pili bao moja tu.... yaani bao (1) . Baada ya msimu huo kuisha na kufanikiwa kuifungia timu yake bao hilo 1, wakala (Agent) wa James KOTEI anamtafutia klabu nje ya Ghana ili akafanye majaribio.

AL OROUBA SC

Msimu wa mwaka 2015/16 James KATEI anafanya majaribio kwenye klabu moja huko OMAN.. Iitwayo "Al-Orouba SC"....inayoshiriki ligi kuu. (Moja ya klabu inayoshiriki ligi kuu hiyo ni Fanja United aliposajiliwa "Mrisho Ngassa". Ikumbukwe Ngassa karudi Mbeya City FC).


Akiwa amesajiliwa Orouba SC ya Oman, Mchezaji huyu James KATEI amefanikiwa kucheza mechi nane tu... yaani 8 Kati ya mechi zote za msimu huo wa 2015/16.

Kati ya hizo mechi 8 . Ni mechi 5 tu za LigiKuu, mechi 3 za kombe la Shirikisho (Huku Bongo tunaliita Azam sports Federation Cup). Kati ya mechi 5 za LigiKuu ni 2 alizo anza na kucheza dakika zote 90. Ikumbukwe kuwa msimu mzima akiwa hapa alifanikiwa kufunga mabao sifuri... yaani (0)/ziro
Baada ya msimu kuisha mwezi wa 5/2016, James KATEI amekuwa ni Free agent. Hakuwa anajihusika na Klabu yeyote ile tangu mwezi wa 5 mpaka sasa mwezi wa 12.
1481145435863.jpg


SIMBA SC

Mnamo mwezi wa 12/2016. Klabu ya Simba SC ipo tayari kumwaga mamilioni ya fedha kumsajili Kiungo huyu matata ili aiwezeshe Klabu hiyo yenye makazi yake mitaa ya Msimbazi.. Kutwaa ubingwa wa VPL.

Nawasilisha:-
 
Duuh mi bwana na mpira wa bongo hapana..magazeti yanatoaga sifa zaidi ya hata alizonazo mchezaji...bora nibaki na chelsea yangu kwakweli...najieka pembeni
 
Duuh mi bwana na mpira wa bongo hapana..magazeti yanatoaga sifa zaidi ya hata alizonazo mchezaji...bora nibaki na chelsea yangu kwakweli...najieka pembeni
Jamaa amecheza mechi 8 tu akiwa Oman.

.
.
.
Msimu mzima.
 
Anaitwa - James Agyekum Kotei.
Amezaliwa - 10.10.1993 (23).
Nafasi - Kiungo mkabaji.

Amekuzwa na kulelewa kisoka kwenye academy inayoitwa "Golden Foot Academy". (2007 - 2009)

LIBERTY PROFESSIONALS FC

Akapana nafasi ya kusajiliwa na moja ya Klabu inayoshiriki ligi kuu Ghana iitwayo "Liberty Professionals Football Club".
Au Liberty Professionals FC - ( 2010 - 2015). Kwa kipindi cha miaka hiyo minne (sawa na misimu 4, ukiondoa msimu wa mwaka 2014/15) aliyodumu hapo Klabuni, James KOTEI aliifungia timu yake mabao matatu tu.. yaani (3) . Akiwa Liberty James KATEI alishindwa kuwa mchezaji wa kutegemewa kikosini..... Hivyo basi kwa kipindi cha miaka yote hiyo minne amekuwa akitumika kama mchezaji wa ziada kikosini.
Kutokana na maboresho yaliyofanyika klabuni hapo mwishoni mwa mwaka 2014. James KATEI alijikuta akitolewa kwa mkopo kwenda klabu inayoshiriki ligi daraja la pili huko Ghana iitwayo "Brong Ahafo Stars Football Club" a.k.a BA Stars FC.

BA STARS FC

James KATEI akiwa BA Stars FC kwa msimu mmoja wa 2014/15 alifanikiwa kuifungia timu yake hiyo ya daraja la pili bao moja tu.... yaani bao (1) . Baada ya msimu huo kuisha na kufanikiwa kuifungia timu yake bao hilo 1, wakala (Agent) wa James KOTEI anamtafutia klabu nje ya Ghana ili akafanye majaribio.

AL OROUBA SC

Msimu wa mwaka 2015/16 James KATEI anafanya majaribio kwenye klabu moja huko OMAN.. Iitwayo "Al-Orouba SC"....inayoshiriki ligi kuu. (Moja ya klabu inayoshiriki ligi kuu hiyo ni Fanja United aliposajiliwa "Mrisho Ngassa". Ikumbukwe Ngassa karudi Mbeya City FC).


Akiwa amesajiliwa Orouba SC ya Oman, Mchezaji huyu James KATEI amefanikiwa kucheza mechi nane tu... yaani 8 Kati ya mechi zote za msimu huo wa 2015/16.

Kati ya hizo mechi 8 . Ni mechi 5 tu za LigiKuu, mechi 3 za kombe la Shirikisho (Huku Bongo tunaliita Azam sports Federation Cup). Kati ya mechi 5 za LigiKuu ni 2 alizo anza na kucheza dakika zote 90. Ikumbukwe kuwa msimu mzima akiwa hapa alifanikiwa kufunga mabao sifuri... yaani (0)/ziro
Baada ya msimu kuisha mwezi wa 5/2016, James KATEI amekuwa ni Free agent. Hakuwa anajihusika na Klabu yeyote ile tangu mwezi wa 5 mpaka sasa mwezi wa 12.
View attachment 443662

SIMBA SC

Mnamo mwezi wa 12/2016. Klabu ya Simba SC ipo tayari kumwaga mamilioni ya fedha kumsajili Kiungo huyu matata ili aiwezeshe Klabu hiyo yenye makazi yake mitaa ya Msimbazi.. Kutwaa ubingwa wa VPL.

Nawasilisha:-

Wadanganyeni wasiojua mpira ILA tuliocheza mpira tena kwa ' kiwango ' kizuri tu na wachambuzi na wafuatiliaji wa mpira tunasema kuwa hakuna kitu hapo. Mimi ni Mwana Simba tena yule ' lia lia ' kabisa na tangia jana baada ya ujio wa huyu Mchezaji nimeshaanza ' kuwadharau ' Viongozi wote wa Simba na kamati yao nzima ya Usajili inayoongozwa na Mr. Mapama. Mchezaji wetu Simba aitwae Awadh Juma ni mzuri mara 100 ya huyo Mghana wenu ambaye mmemleta ili tu mpige 10% ya usajili na kuzichezea pesa za Mo Dewji. Pumbavu kabisa na muda wowote nitaachana rasmi kuishabikia Simba na soka la bongo.
 
Anaitwa - James Agyekum Kotei.
Amezaliwa - 10.10.1993 (23).
Nafasi - Kiungo mkabaji.

Amekuzwa na kulelewa kisoka kwenye academy inayoitwa "Golden Foot Academy". (2007 - 2009)

LIBERTY PROFESSIONALS FC

Akapana nafasi ya kusajiliwa na moja ya Klabu inayoshiriki ligi kuu Ghana iitwayo "Liberty Professionals Football Club".
Au Liberty Professionals FC - ( 2010 - 2015). Kwa kipindi cha miaka hiyo minne (sawa na misimu 4, ukiondoa msimu wa mwaka 2014/15) aliyodumu hapo Klabuni, James KOTEI aliifungia timu yake mabao matatu tu.. yaani (3) . Akiwa Liberty James KATEI alishindwa kuwa mchezaji wa kutegemewa kikosini..... Hivyo basi kwa kipindi cha miaka yote hiyo minne amekuwa akitumika kama mchezaji wa ziada kikosini.
Kutokana na maboresho yaliyofanyika klabuni hapo mwishoni mwa mwaka 2014. James KATEI alijikuta akitolewa kwa mkopo kwenda klabu inayoshiriki ligi daraja la pili huko Ghana iitwayo "Brong Ahafo Stars Football Club" a.k.a BA Stars FC.

BA STARS FC

James KATEI akiwa BA Stars FC kwa msimu mmoja wa 2014/15 alifanikiwa kuifungia timu yake hiyo ya daraja la pili bao moja tu.... yaani bao (1) . Baada ya msimu huo kuisha na kufanikiwa kuifungia timu yake bao hilo 1, wakala (Agent) wa James KOTEI anamtafutia klabu nje ya Ghana ili akafanye majaribio.

AL OROUBA SC

Msimu wa mwaka 2015/16 James KATEI anafanya majaribio kwenye klabu moja huko OMAN.. Iitwayo "Al-Orouba SC"....inayoshiriki ligi kuu. (Moja ya klabu inayoshiriki ligi kuu hiyo ni Fanja United aliposajiliwa "Mrisho Ngassa". Ikumbukwe Ngassa karudi Mbeya City FC).


Akiwa amesajiliwa Orouba SC ya Oman, Mchezaji huyu James KATEI amefanikiwa kucheza mechi nane tu... yaani 8 Kati ya mechi zote za msimu huo wa 2015/16.

Kati ya hizo mechi 8 . Ni mechi 5 tu za LigiKuu, mechi 3 za kombe la Shirikisho (Huku Bongo tunaliita Azam sports Federation Cup). Kati ya mechi 5 za LigiKuu ni 2 alizo anza na kucheza dakika zote 90. Ikumbukwe kuwa msimu mzima akiwa hapa alifanikiwa kufunga mabao sifuri... yaani (0)/ziro
Baada ya msimu kuisha mwezi wa 5/2016, James KATEI amekuwa ni Free agent. Hakuwa anajihusika na Klabu yeyote ile tangu mwezi wa 5 mpaka sasa mwezi wa 12.
View attachment 443662

SIMBA SC

Mnamo mwezi wa 12/2016. Klabu ya Simba SC ipo tayari kumwaga mamilioni ya fedha kumsajili Kiungo huyu matata ili aiwezeshe Klabu hiyo yenye makazi yake mitaa ya Msimbazi.. Kutwaa ubingwa wa VPL.

Nawasilisha:-
Sio kweli Kiongozi kuna kitu kimoja umekosea au umesahau James Agyekum Kotei akiwa Oman amecheza mechi 11 na sio 8 yaani mechi 8 za ligo na mechi 3 za shirikisho
Capture.PNG Capture.PNG Capture.PNG
Capture.PNG
 
Hili sasa ni tatizo! Huwezi sajili garasa kama hilo kama hamna wachezaji ndani si bora Mkude angepewa hata mil 100.kulioko hilo garasa? Aveva mpira si biashara ya nyanya.
 
James hajasajiliwa bali atakwenda Moro na kocha atamthamini aone kama anakidhi mahitaji. Akifaulu ndio atasajiliwa.Ni process Mkuu Mbojo hakuna kilichoamuliwa mpaka sasa.
 
Hili sasa ni tatizo! Huwezi sajili garasa kama hilo kama hamna wachezaji ndani si bora Mkude angepewa hata mil 100.kulioko hilo garasa? Aveva mpira si biashara ya nyanya.
Hii ni biashara ya Hans Pope... Anapata ten pasenti.... Kutoka kwenye dili za namna hii za usajili
.
.
.
 
Nilidhani utasema labda alifunga goli hata 5 akiwa Oman!
Huyo Jamaa amechanganyikiwa kabisa. Hizi habari zimemchanganya mno.

Anatete mechi alizocheza mchezaji, anaacha kuzungumza kuhusu mabao aliyofunga kwenye Ligi.
 
Wadanganyeni wasiojua mpira ILA tuliocheza mpira tena kwa ' kiwango ' kizuri tu na wachambuzi na wafuatiliaji wa mpira tunasema kuwa hakuna kitu hapo. Mimi ni Mwana Simba tena yule ' lia lia ' kabisa na tangia jana baada ya ujio wa huyu Mchezaji nimeshaanza ' kuwadharau ' Viongozi wote wa Simba na kamati yao nzima ya Usajili inayoongozwa na Mr. Mapama. Mchezaji wetu Simba aitwae Awadh Juma ni mzuri mara 100 ya huyo Mghana wenu ambaye mmemleta ili tu mpige 10% ya usajili na kuzichezea pesa za Mo Dewji. Pumbavu kabisa na muda wowote nitaachana rasmi kuishabikia Simba na soka la bongo.
 
Mijitu mijinga utaijua tu.Mkude kama kiungo mkabaji amefunga goli ngapi?Hamjui hata kazi ya kiungo mkabaji. Amekwenda Moro kujaribiwa akipita majaribio atasajiliwa asipopita atarudi kwao.
 
Mijitu mijinga utaijua tu.Mkude kama kiungo mkabaji amefunga goli ngapi?Hamjui hata kazi ya kiungo mkabaji. Amekwenda Moro kujaribiwa akipita majaribio atasajiliwa asipopita atarudi kwao.


Vipi kuhusu mabao.

As a professional player... Je anatofaitia a nini katika ufungaji ukilinganidha na viungo wakabaji wa ndani...

Usituambie tena kufunga sio kazi yake!! kwa sababu nitamleta Kapombe awe mfano madhubuti....
 
Kapombe kafunga ngapi msimu huu?Ni kiungo mkabaji?Mtaje kiungo mkabaji mwenye magoli mengi ikiwa kazi yake ni kufunga?
Tofauti yake itaonekana atakapofanya majaribio akifaulu sawa akifeli atarudi kwao. Povu la nini?Zulu kafunga magoli 20 na ngapi?Obsession itakupa blood pressure.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom