Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
huyu jamaasi kavua Gamba?iweje tena ateuliwe ukuuwa wilaya? au tuamini yale yasemayo kwamba jamaa ni kibaraka....
Sio majina tu ya mwisho yameingiliana. Nijuavyo mimi 'ole' sio jina linalojitegemea na hivyo haiwezi kukaa kama kifupisho cha jina. Ni kama wadachi wanavyotumia 'von' au 'van'. Kule kwetu tukitamtaja mwanamke katika ukoo tunaweka neno 'sa'.....kwa mfano kama Mbako ndio jina la ukoo, ukitaja mwanake katika ukoo huo utasema 'sa Mbako'.
Haswaa! Lakini sisi tunasema 'sa' badala ya 'se'.Sio kama Se Sanga, Se Mgaya, Se Ngulo, Se Mligo, Se Chengula, Se Chaula?
Sio majina tu ya mwisho yameingiliana. Nijuavyo mimi 'ole' sio jina linalojitegemea na hivyo haiwezi kukaa kama kifupisho cha jina. Ni kama wadachi wanavyotumia 'von' au 'van'. Kule kwetu tukitamtaja mwanamke katika ukoo tunaweka neno 'sa'.....kwa mfano kama Mbako ndio jina la ukoo, ukitaja mwanake katika ukoo huo utasema 'sa Mbako'.
Sio kama Se Sanga, Se Mgaya, Se Ngulo, Se Mligo, Se Chengula, Se Chaula?