Pale utakapojisikia tayari.
Ukishajiuliza hilo swali jua hauko tayari hata kama unagonga 50. Utakapokua tayari utakachojiuliza ni "nimuoe nani" kama hauna mtu maalumu bado au "fulani atapendeza/weza/faa kweli kuwa mke wangu?!" na sio 'je umri wangu bado?'.
Sio lazima kuowa, ndoa ni swala lingine kabisa tofauti na kufanya sex.WanaJf ninapata utata kua ni umri gani ambao kwa mwanaume anapaswa kuoa mana me nina27 na naona nimechelewa maisha ukitegemea kwanza ndo nipo first year,naona wenzangu nimechelewa maisha,cu unajua maisha ya bongo,naomba mchango wako
pale utakapojisikia tayari.
Ukishajiuliza hilo swali jua hauko tayari hata kama unagonga 50. Utakapokua tayari utakachojiuliza ni "nimuoe nani" kama hauna mtu maalumu bado au "fulani atapendeza/weza/faa kweli kuwa mke wangu?!" na sio 'je umri wangu bado?'.
WanaJf ninapata utata kua ni umri gani ambao kwa mwanaume anapaswa kuoa mana me nina27 na naona nimechelewa maisha ukitegemea kwanza ndo nipo first year,naona wenzangu nimechelewa maisha,cu unajua maisha ya bongo,naomba mchango wako
Unampa pole ya nini? mbona mimi nipo kwenye umri huo na sina financial arrasment lakini bado sijaoa? wewe ndoa kwako unaidefine vipi?Hahaaha...27 first year?? Ongeza minne, tena miwili, malizia miwili tena ya kujipanga.
27+4+2+2=35. Hapo mambo yakienda sawa bila mizengwe ila kwa utata wa ajira na maisha ya ujasiliamali huku mtaani kwasasa, ongeza tena kama mitano hivi. Uhakika ni 40. Pole!
Not true, nina shangazi yangu aliolewa akiwa 35, na ndio alivo panga mwenyewe. na sasa hivi anahishi maisha mazuri tu.mie nina 28 na ndio kwaanza sijaanza chuo,na bado nataka mpaka nimalize ndio niolewe..mmnh sijui km nitapata mume..lol i think kwa wanawake ukifikisha 27 hujaolewa jihesabu huna bahati ya kuolewa lol
Akipata mtoto kwenye umri huo, inabidi amwombe mungu walau mtoto wake afikishe miaka 20 ndio mungu akiamuwa kutimiza mapenzi yake ya kumrestisha in peace ndio yatimie, maana hapo shangazi yako atakuwa ana miaka 55.Not true, nina shangazi yangu aliolewa akiwa 35, na ndio alivo panga mwenyewe. na sasa hivi anahishi maisha mazuri tu.