NTINGINYA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2010
- 252
- 47
Heshima kwenu
jamani mwezenu nashindwa kufaham kuhusu hili jambo nimemtumia mkewangu pesa za shughuli maalum kijijini kama m2 hivi natumepanga mipango pamoja hizo pesa ziende kijijini kwenye kamradi tulikoamua kufanya mara baada ya kutuma mwenzangu kaamua kunua fanicha za ndani kwakuwa sikunyingi sijanunua na nilimuahidi mwisho wa mwezi huu tutanunua lakini mpaka sasa hajakubali na mwisho akazima sim mpaka saa7 usiku alipofungua kanitusi nakuniambia nisijisumbue kupiga sim hatapokea nakweli toka jana hakuna mawasiliano hapo kunanini kinasho endelea wakuu mimi nimeshindwa kuelewa mpasasa sina jibu na sipo nyumbani kwa kipindi cha miezi 4
jamani mwezenu nashindwa kufaham kuhusu hili jambo nimemtumia mkewangu pesa za shughuli maalum kijijini kama m2 hivi natumepanga mipango pamoja hizo pesa ziende kijijini kwenye kamradi tulikoamua kufanya mara baada ya kutuma mwenzangu kaamua kunua fanicha za ndani kwakuwa sikunyingi sijanunua na nilimuahidi mwisho wa mwezi huu tutanunua lakini mpaka sasa hajakubali na mwisho akazima sim mpaka saa7 usiku alipofungua kanitusi nakuniambia nisijisumbue kupiga sim hatapokea nakweli toka jana hakuna mawasiliano hapo kunanini kinasho endelea wakuu mimi nimeshindwa kuelewa mpasasa sina jibu na sipo nyumbani kwa kipindi cha miezi 4