Jambo Usilolijua: Rais Mwinyi - Nyerere hakuwa Mdini wala Mkabila

Mwinyi hana credibility ya kuusemea udini! Au hukumbuki alivyokula kofi kwa mambo ya dini?
Wewe Mwanakijiji unakaanga mbuyu uwache wenye meno watafune.

attachment.php


???????????
 

Attachments

  • IMG_3290.JPG
    IMG_3290.JPG
    18.9 KB · Views: 68
Ni kweli Mkuu, inasikitisha kweli.Kwa baadhi ya watu, kung'ang'ania na hoja zinazosukumwa na chuki, ndio busara eti. Ukimtetea Nyerere kwa hoja, wewe ni mwenda wazimu. Ukimkandia na kumbambikizia makosa ya uongo, wewe ndio una busara na una hoja zilizoenda shule. ha ha ha!
Waislamu hata ukiwalamba miguu au hata m.a.t.a.k.o hawataridhika milele! Kule Mashariki ya Kati wanalipuana wenyewe kwa wenyewe, kwa hiyo sidhani kama wanaweza kuwa na mawazo mazuri dhidi ya asiye Mwislamu! Ukiwaelewa Waislamu kuwa ni watu wasio na shukrani umejivua gamba na hawasumbui tena akili yako! Wao humpima Kiongozi kwa misingi ya dini tu! Hata kama amejenga viwanda, barabara, kusomesha bure, matibabu bure, kiasi gani, kwao sio kitu! Kwao ni madrassa tuuuuuuuuuuu....!
 
Mwanakijiji: You are wasting your time for writing all these, you will never mislead anyone. we knows the facts and it is s o obvious. Both Cristians and muslims knows how much muslims were humiliated by Nyerere and his Govt. I dont know who pays you o do this shit!!!!
You are so lucky to get the platform to talk about UDINI and ocourse you lies a lot, and people feels that it is ok.
It is very unfortunate that you will never destruct Islam/muslims because its foundation is very strong, you can only shaake weaker muslims

Kama katika kusoma yote umegundua kuwa MMJ anataka kuuharibu uislam basi una matatizo makubwa sana na hasa ya uelewa na hata hiyo dini unayoishadadia haijakusaidia, kuukataa ukweli ni kosa kubwa sana, linapokuja suala la elimu, wakristo walifungua shule na makanisa ajabu waislamu wakafungua misikiti na madrasa kana kwamba walikatazwa kufungua shule na leo wanataka waonekane walinyanyaswa kwa kutokuwa na mipango ya kielemu kama wenzao katika nchi zenye waislamu wengi.

Hakuna anayesema kuwa JKN hakuwa na mapungufu yake, yy sio Mungu wala kwa namna yoyote ile hauwezi kumlinganisha na mtume lakini kama kiongozi alitoa nafasi kwa kila Mtz na hata Njozi (2000 chpt.1) anaposema kuwa wawakilishi bungeni miaka hiyo wengi walikuwa wakristo yaani unataka kusema kama hawakujitokeza kugombea basi wangepewa nafasi za viti maalum.

Natangaza maslahi, mm ni muislam lakini siwezi kufungwa na kutoutafuta ukweli na kubaki kulalamika kama mti wa mbaazi, tumskikilize Mufti Simba pale anapotuhimiza sasa kujenga shule na kutilia mkazo ilmu dunia. Nakubaliana na kuwafanya vijana wetu wawe wakakamavu lakini kitendo cha kuendekeza mafunzo ya kungfu na kutowapatia vijana wetu elimu ni kama kutishia kujamba huku una dalili zote za tumbo la kuhara
 
HTML:
Hatuhitaji ushahidi wa kauli wala maandiko bali wa vitendo. Nashangaa umakini aliokuwa nao Nyerere ameondoka madarakani akiacha Waislamu wakiwa hali duni ya Kimaendeleo. Kielimu wao ndio wako chini na kimikowa ile wanayoishi Waislamu wengi ndio iko chini.
Ama kwa ukabila kitendo chake cha kusingle out kabila fulani kama kigezo cha kutobezwa si kitu chengine bali ni kuonyesha hasira yake kwa makabila makubwa. Mwanakijiji wewe ni Mkristo na mimi ni Muislamu na kwa vile wewe umeridhika na hali aliyoiweka Nyerere dhidi ya Uislamu nafikiri hatutofika pahala tukakubaliana na hoja zako. Hivyo kurecite Quran kwa ajili ya gain ya kisiasa unaweza ukatowa kuwa ni ushuhuda wa mtu kuwa haichukii dini fulani? Kama kweli anajali dini zote kwanini uwaondolee msingi wa kuabudu wale unaosema kuwa unawajali katika dini yao? Kwanini aliondowa Mahakama ya Kadhi wakati akijuwa kuwa kwa Waislamu hilo ni jambo muhimu?
Katika historia ya Tanzania tumekuwa tukijali makundi yaliyokuwa nyuma kimaendeleo jee Nyerere alichukuwa hatuwa gani katika kuondowa mfumo kristo uliokuwepo wakati wake hata kuendelea mpaka sasa hivi?

Aliataifisha shule za wakristo, mahospitali ya wakristo alijenga vyuo ili wote waislamu, wakristo na wasio na dini wapate elimu bure na matibabu bure, na ndiyo matunda ya kina Mzee Mwinyi, Marehemu Kighoma Malima n.k ambao wallitikia mwito wa elimu huku wengine wakiendekeza Madrasa halafu leo wanakuwa mstari wa mbele kulalamika.
 


"in public mwalimu nyerere was a fierce defender of secularism. It is therefore quite disturbing to learn that in private he championed the sectional interests of his own church. In 1970 nyerere invited to the state house the then secretary general of the tanzania episcopal conference, fr. Robert rweyemamu and the pope’s representative to tanzania mgr. Giovano cerrano. among other things nyerere told his guests that he was doing every thing in his power to strengthen catholicism in the country. He also requested them to go and inform the bishops that he had established a department of political education in tanu (the ruling and only political party at that time), and that he had appointed a christian reverend to head that department, not because of his competence as a political analyst, but because of his strong faith as a christian. his responsibility was to guide and control the political direction of the party. He also informed them that in the party’s national executive committee (nec) two members
were reverends. He said he believed that was the best way of ensuring that the party got good people (van bergen, 1981:333-336).

It is quite obvious that by “good people” mwalimu nyerere meant christians in general and roman catholics in particular. It is not surprising therefore that sivalon (1992:49) reports that in the same year 1970 roman catholics could boast that they constituted 70% of the 75% elected christian members of parliament. out of the 108 elected members of parliament, 23 were muslim, 5 traditionalist and 80 christian. throughout his rule nyerere was both president and chairman of the ruling party. his promise to strengthen catholicism was not an empty one. Catholics could now use parliament to promote their religious interests if they so wished."

-chapter 1, mwembechai killings: Difficult problems, easy answers (hamza njozi 2000)
tunajua kampeni zenu chafu mnazozifanya mmeamua kusambaza mpaka dvd zinazochafua roman catholic lakini na wakristu kwa ujumla lakini ukweli utabaki kuwa mwl.nyerere aliyaona haya ndio maaana alikemea sana,lakini saizi haya mambo yanashabikiwa sana inaonekana yana baraka kutoka kwa mkuu wa kaya wakati wenzenu wako bize na shughuli za maendeleo ninyi mnazunguka nchi nzima kuhubiri ubaya wa mwl.nyerere muda unayoyoma haya endeleeni.........................
 
Kama katika kusoma yote umegundua kuwa MMJ anataka kuuharibu uislam basi una matatizo makubwa sana na hasa ya uelewa na hata hiyo dini unayoishadadia haijakusaidia, kuukataa ukweli ni kosa kubwa sana, linapokuja suala la elimu, wakristo walifungua shule na makanisa ajabu waislamu wakafungua misikiti na madrasa kana kwamba walikatazwa kufungua shule na leo wanataka waonekane walinyanyaswa kwa kutokuwa na mipango ya kielemu kama wenzao katika nchi zenye waislamu wengi.

Hakuna anayesema kuwa JKN hakuwa na mapungufu yake, yy sio Mungu wala kwa namna yoyote ile hauwezi kumlinganisha na mtume lakini kama kiongozi alitoa nafasi kwa kila Mtz na hata Njozi (2000 chpt.1) anaposema kuwa wawakilishi bungeni miaka hiyo wengi walikuwa wakristo yaani unataka kusema kama hawakujitokeza kugombea basi wangepewa nafasi za viti maalum.

Natangaza maslahi, mm ni muislam lakini siwezi kufungwa na kutoutafuta ukweli na kubaki kulalamika kama mti wa mbaazi, tumskikilize Mufti Simba pale anapotuhimiza sasa kujenga shule na kutilia mkazo ilmu dunia. Nakubaliana na kuwafanya vijana wetu wawe wakakamavu lakini kitendo cha kuendekeza mafunzo ya kungfu na kutowapatia vijana wetu elimu ni kama kutishia kujamba huku una dalili zote za tumbo la kuhara[/QUOTE]

HELLOW EXACTLY WASITAFUTE MTU WA KUMTWISHA LAWAMA JUU YA HILI, MWL. JKN HAS GONE, JITIHADA GANI ZINAFANYIKA KUJIONDOA HAPO MLIPO. MUFTI SIMBA YEYE AMEKUWA KIBARAKA WA CCM, SIO MSAADA TENA KWA WAISLAM.

HILI NALO NI TATIZO MNAPOKOSA UONGOZI WENYE UWEZO WA KUONA MBALI, SIKU HIZI KWA MFANO MAKANISA HAYAPATI MISADA MINGI KUTOKA ULAYA KAMA ZAMANI LKN WAMEWEKA MFUMO WA WAUMINI WAO KUJITOLEA ILI KUFANIKISHA MIRADI YAO YA MAENDELEO, NDIO MAANA KUNA HARAMBEEE, NDIO MAANA KOKOTE DUNIANI KANISA KATOLIKI NA WAKRISTU NI WATU AMBAO WAMEWEKEZA KTK ELIMU.

HAWANA MUDA WA KUMLAAUMU MTU, WAO NI VITENDO NA KUHIMIZA VIJANA WAO WAENDE SHULE, NYERERE MBONA ALITAIFISHA SHULE NYINGI TU ZA DINI ZA WAKRISTU LAKINI WAKAJIPANGA WAKAJENGA ZA KWAO LEO HII KARIBU KILA JIMBO LA KANISA KATOLIKI WANA SEMINARY ZAO NA ZINAFANYA VIZURI, BAKWATA WANA MIKAKATI GANI JUU YA ELIMU YA WISLAMU?
 
tunajua kampeni zenu chafu mnazozifanya mmeamua kusambaza mpaka dvd zinazochafua roman catholic lakini na wakristu kwa ujumla lakini ukweli utabaki kuwa mwl.nyerere aliyaona haya ndio maaana alikemea sana,lakini saizi haya mambo yanashabikiwa sana inaonekana yana baraka kutoka kwa mkuu wa kaya wakati wenzenu wako bize na shughuli za maendeleo ninyi mnazunguka nchi nzima kuhubiri ubaya wa mwl.nyerere muda unayoyoma haya endeleeni.........................
Huyo mkuu wa kaya kama mwanaume kweli akubali Mahakama ya kadhi!
 
Najaribu kufikiri kwa nini JF inaitwa ni ya watu ambao ni great thinkers? Great thinkers gani ambao wanadandia hoja? mwanakijiji ametuletea hoja juu ya nani anasema Nyerere sio mdini nasi basi tungeeleza ni kiasi gani tunadhani Nyerere ni mdini badala ya kuponda. Kama mzee Mwinyi hajui Uislamu nani kamfundisha JK udini huu? Ni mwinyi huyo huyo mnaye mkataa leo, Mwinyi aliona waislamu wanavyokufa na ukimwi ikabidi awafundishe waislamu kutumia kondomu akapigwa makofi na kumdhalilisha. Maendeleo ya wakristo yanatokana na bidii zao, waislamu wengi ni wavivu na wanapoteza muda wao mwingi vijiweni wakitunga majungu huki wana lalamikia kupunjwa. Maendeleo ni utamaduni wa kikristo, kulalamika hakutawasaidia badilisheni tabia.
 
Mwinyi hana credibility ya kuusemea udini! Au hukumbuki alivyokula kofi kwa mambo ya dini?

Wewe Mwanakijiji unakaanga mbuyu uwache wenye meno watafune.

Nakisia kitu fulani kuhusu wewe, lazima utakuwa ni mtu mfupi kuliko kawaida.
Mi nadhani kuna kazi nyingi za kufanya sio lazima uandike ujinga,ficha upumbavu wako,usifiche hekima yako.
Swala la mtu kuwa mfupi na hayo maandiko hakuna uhusiano hata kidogo.
 
Mkuu wa kijiji
Matatizo ya udini yameanza kwa mh. Ally Hassan Mwinyi, "kamwulize Harun Mahundi alipomteua kuwa IGP alimwambia nini" endapo atakuwa tayari kusema ndo utajua mzee alikuwa mdini au lahasha.

Mkuu wewe si unajua tayari, tujuze basi alisema nini? Ni watu wangapi katika Tanzania hii wanaoweza kwenda kumuuliza Mzee Mwinyi hilo swali?Na akajibu sawasawa? Tujuze alichosema , kama Mwanakijiji alivoamua kutujuza alichosema Mwinyi juu ua Nyerere!
 
Mimi nafikiri katika mikoa yote kuna shule nyingi tu za Msingi na Sekondari
zilizokuwa chini ya Makanisa zilichukuliwa na serikali kwaajili ya watoto
wa dini zote na wasio na dini hata wenye dini za kiasili ili wasome.
Baadhi kama zifuatazo:
Dar es Salaam---Forodhani, Azania,Jangwani,

PWANI: Pugu, Minaki...
MTWARA: Ndanda, Mangamba(Mtwara Girls)
MOROGORO: Mzumbe,Kilakala,Kwiro, Mhonda(Chuo cha ualimu)
ARUSHA: Ilboru
IRINGA:Tosamaganga
Ongezeni orodha mikoa mingine hata za Kiislamu mnazozijua
halafu tulinganishe.
Wengi wa hao pamoja na baba, na mama zao, wanaopiga kelele wamesoma bure
shule hizi zilizokuwa chini ya makanisa ambazo J K NYERERE alizitaifisha.
 
Mhhhh! Kwa hiyo wale wote wanaomtetea Mwalimu kwamba kafanya mengi sana kwa ajili ya nchi yetu ukilinganisha na Mwinyi, Mkapa na Kikwete na pia alikuwa na maadili mema katika uongozi wote ni wendawazimu! lakini wale wote wanaomkandiya Mwalimu ndio wenye akili timamu!
Mkuu, sina uhakika kama unaelewa kiswahili.
 
Mhhhh! Kwa hiyo wale wote wanaomtetea Mwalimu kwamba kafanya mengi sana kwa ajili ya nchi yetu ukilinganisha na Mwinyi, Mkapa na Kikwete na pia alikuwa na maadili mema katika uongozi wote ni wendawazimu! lakini wale wote wanaomkandiya Mwalimu ndio wenye akili timamu!
Mkuu, kuna mtu katika kumtetea Nyerere aliandika hivi:
Nishasema mijitu mivivu inayotaka kupakuliwa (MaSharoharo) itamwona Nyerere alikuwa Dikteta mbaya kwa sababu imelegea sana inataka kuwekewa kila kitu mezani..Kwa mtaji huu, Tanzania ilihitaji na itaendelea kuhitaji Dikteta ili kumwezesha kufikia malengo ya vision alokusudia kuijenga.
Ajabu sijasoma mahala popote watetezi wa Nyerere wakiliona ili ni tatizo, wanaona ni sawa tu.
 
Hatuhitaji ushahidi wa kauli wala maandiko bali wa vitendo. Nashangaa umakini aliokuwa nao Nyerere ameondoka madarakani akiacha Waislamu wakiwa hali duni ya Kimaendeleo. Kielimu wao ndio wako chini na kimikowa ile wanayoishi Waislamu wengi ndio iko chini.
Ama kwa ukabila kitendo chake cha kusingle out kabila fulani kama kigezo cha kutobezwa si kitu chengine bali ni kuonyesha hasira yake kwa makabila makubwa. Mwanakijiji wewe ni Mkristo na mimi ni Muislamu na kwa vile wewe umeridhika na hali aliyoiweka Nyerere dhidi ya Uislamu nafikiri hatutofika pahala tukakubaliana na hoja zako. Hivyo kurecite Quran kwa ajili ya gain ya kisiasa unaweza ukatowa kuwa ni ushuhuda wa mtu kuwa haichukii dini fulani? Kama kweli anajali dini zote kwanini uwaondolee msingi wa kuabudu wale unaosema kuwa unawajali katika dini yao? Kwanini aliondowa Mahakama ya Kadhi wakati akijuwa kuwa kwa Waislamu hilo ni jambo muhimu?
Katika historia ya Tanzania tumekuwa tukijali makundi yaliyokuwa nyuma kimaendeleo jee Nyerere alichukuwa hatuwa gani katika kuondowa mfumo kristo uliokuwepo wakati wake hata kuendelea mpaka sasa hivi?

Ndugu yangu huna haja ya kutokwa mapovu. Nakumbuka wakati Mzee Mwingi alipokuwa rais alitumia muda mwingi kuwaamsha waisilamu kuruhu watoto wao wasome pia elimu dunia, and of course madrasa!! Nyinyi wenzenu waliwafungua watoto wao katika real world, niynyi mkakomaa na madrasa; was this Nyerere's problem?!!!

Ukweli ni kuwa ELIMU dunia ndi ya msingi zaidi (as first priority) followed by the so called "ilmu akhera" wether you like it or not!!!
 
Mimi nafikiri katika mikoa yote kuna shule nyingi tu za Msingi na Sekondari
zilizokuwa chini ya Makanisa zilichukuliwa na serikali kwaajili ya watoto
wa dini zote na wasio na dini hata wenye dini za kiasili ili wasome.
Baadhi kama zifuatazo:
Dar es Salaam---Forodhani, Azania,Jangwani,

PWANI: Pugu, Minaki...
MTWARA: Ndanda, Mangamba(Mtwara Girls)
MOROGORO: Mzumbe,Kilakala,Kwiro, Mhonda(Chuo cha ualimu)
ARUSHA: Ilboru
IRINGA:Tosamaganga
Ongezeni orodha mikoa mingine hata za Kiislamu mnazozijua
halafu tulinganishe.
Wengi wa hao pamoja na baba, na mama zao, wanaopiga kelele wamesoma bure
shule hizi zilizokuwa chini ya makanisa ambazo J K NYERERE alizitaifisha.

Mkoa wa Mara

Mara Secondary- wakristo
Musoma Alliance - wakristo
Bunda chuo cha ualimu-wakristo
Morembe Secondary-wakristo-wengine waongeze nilizosahau hapa Mara
 
Ndugu yangu huna haja ya kutokwa mapovu. Nakumbuka wakati Mzee Mwingi alipokuwa rais alitumia muda mwingi kuwaamsha waisilamu kuruhu watoto wao wasome pia elimu dunia, and of course madrasa!! Nyinyi wenzenu waliwafungua watoto wao katika real world, niynyi mkakomaa na madrasa; was this Nyerere's problem?!!!

Ukweli ni kuwa ELIMU dunia ndi ya msingi zaidi (as first priority) followed by the so called "ilmu akhera" wether you like it or not!!!
Hizi ni propaganda, ambazo zilianza enzi ya Mchonga ili kuwafanya wananchi waone kuwa Waislam hawapendi kuwapeleka watoto zao shule, na hata pale wanapofauru vema na wakakatwa kuendelea mbele lionekane ni kosa lao la kutopenda hiyo inayoitwa so called elimu dunia, kitu ambacho si kweli.

Ukweli ni kwamba Waislam walikuwa na wanaendelea kuwapeleka watoto zao shule kama wanavyofanya wakristo.

Watanzania mmelishwa propaganda mpaka mmenziona kuwa ni kweli.
 
Ok mkuu yaishe haya. I presume kwenye ile post yako ya kwanza ulipozungumzia kupenda kiuwendawazimu ulikua unawajibu watu kama mkandara. Now let's get back to TOPIC.
Mkuu, kuna mtu katika kumtetea Nyerere aliandika hivi:

Ajabu sijasoma mahala popote watetezi wa Nyerere wakiliona ili ni tatizo, wanaona ni sawa tu.
 
Ok mkuu yaishe haya. I presume kwenye ile post yako ya kwanza ulipozungumzia kupenda kiuwendawazimu ulikua unawajibu watu kama mkandara. Now let's get back to TOPIC.
Ah ah ah ah, mkuu, kwani ujui kupenda maradhi?

Unajuwa watu wengi wanapojadiliana kwenye hii forums, wanajikuta wanatengeneza uadui, hawaelewi kuwa hii ni njia mojawapo ya kuwakilisha mawazo yako, mawazo ambayo enzi ya Nyerere tusingeweza kuyatoa na kusomwa na wengi, kweli demokrasia imekuwa sasa, atleast watu wanaweza kunyanyua vichwa vyao na kusema yale yanayo wakela.

Sioni sababu ya watu kutukanana na kukasirikiana, sote tupo kwenye ngarawa hii moja, ikizama tumezama sote.
 
Waislamu hata ukiwalamba miguu au hata m.a.t.a.k.o hawataridhika milele! Kule Mashariki ya Kati wanalipuana wenyewe kwa wenyewe, kwa hiyo sidhani kama wanaweza kuwa na mawazo mazuri dhidi ya asiye Mwislamu! Ukiwaelewa Waislamu kuwa ni watu wasio na shukrani umejivua gamba na hawasumbui tena akili yako! Wao humpima Kiongozi kwa misingi ya dini tu! Hata kama amejenga viwanda, barabara, kusomesha bure, matibabu bure, kiasi gani, kwao sio kitu! Kwao ni madrassa tuuuuuuuuuuu....!
Naona povu linakutoka unaonyesha upumbavu wako utadhani unaongea na watoto wako au mume wako! Wewe utawafanyia nini 2.2. Billion: Muslim? Uislam sio dini ya kubebwa ni dini Activating sasa kama unaichukia usiwe Indulgence na Uislam, wewe kama unamuona Nyerere ni Prophet wenu huwo ni mpango wenu msitake watu wote wafate mnavyotaka nyie
 
Hizi ni propaganda, ambazo zilianza enzi ya Mchonga ili kuwafanya wananchi waone kuwa Waislam hawapendi kuwapeleka watoto zao shule, na hata pale wanapofauru vema na wakakatwa kuendelea mbele lionekane ni kosa lao la kutopenda hiyo inayoitwa so called elimu dunia, kitu ambacho si kweli.

Ukweli ni kwamba Waislam walikuwa na wanaendelea kuwapeleka watoto zao shule kama wanavyofanya wakristo.

Watanzania mmelishwa propaganda mpaka mmenziona kuwa ni kweli.

Nyerere ameondoka madarakani miaka zaidi ya 25 iliyopita, akaja AHM mwislam kapiga miaka kumi nchi ikakopa hadi mishahara ya wafanya kazi wake, umaskini ukalitikisa taifa...akaja BWM mkristo akaliokoa taifa kutoka shimoni na kulipatia heshima...akamwachia JMK, mwislamu huyu, miaka 6 tu baadaye, taifa linalia kila pahali, nchi haikaliki. Huwenda maendeleo na uongozi si fani ya uislam...Msilalame.

Nikupe mfano, hapa Mara hakuna hata shule moja wala chuo cha waislam..wakristo hapa Mara wana mashule na vyuo eg:-

1. Nyegina Sec- Catholic
2.Makoko Seminary- Catholic
3. Mwembeni High School-Catholic
4.Rwamlimi Teachers College-Catholic
5. Mara ACT-Anglican
6.Bweri Shule ya msingi- AICT
7.El-shaddai pre and Primary- Walokole
8.Bhakita pre and Primary- Catholic
9. John Bosco- Catholic
10. Isenye Secondary- Anglican
11. Ikizu Sec- Wasabato
12. Chief Wanzagi- Catholic
Pamoja na shule nyingine wilayani Tarime, Bunda, Serengeti nk

Kama wewe ni great thinker unapaswa kusema inatosha na kuwahamasisha waislamu kuamka na sio kulalamika. Hawa wakristo hamwezi lingana nao hata mkipewa madaraka yote serikalini. Nyingi ya shule hizi zimejengwa miaka ya karibuni tu
 
Back
Top Bottom