X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,809
Ni kweli watu watamkumbuka kwa madhira alivyo tutenda Watanzania. Ila Tangia ameondoka, kiasi tunapumua. Uffuuuuuuuuuu!Kasaini yeye kulikubali. Utaitaja wapi Tanzania umsahau Mwalimu? Historia haifutiki wala kuandikwa upya.