mathcom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,397
- 518
Gazeti la Jambo Leo la tarehe 28/10/2012 limeandika kuwa kuna mchuani mkali wa kugombea nafasi ya Urais ndani ya chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kuwa nafasi ya urais ni kati ya katibu mkuu. Wa chama na naibu wake na kuna kura ya maoni juu ya hili kutambua nani atafaa kugombea nafasi ya urais ifikapo 2015.
Na gazeti hilo limebainisha wazi kuwa kama wachezaji basi imewaweka katika uwezo wa wacheza mpira na kumfananisha Bwana Zitto Kabwe kama Ngasa mchezaji wa Simba ya Dar es salaam na Dr. Slaa kifananishwa na Messi wa Barcelona
Kama ni hivo basi ngassa atachukua ushindi