vicenttemu
Member
- Nov 16, 2010
- 43
- 0
Hi there, can we discuss the issue of ethnic groups in higher learning institutions and several organizations. Cku hizi kila mahali kuna chama cha kabila fulani. Hii c kwamba tunajigawa kimakabila na kwa maana hii ukabila umebisha hodi Ty? Nawakilisha wadau tulijadili hili jambo