naomba kuuliza kwa wadau. hivi ili mtu aitwe jambazi sugu inabidi awe na sifa gani? au afanye mambo gani?.
je hizi ni hatua za kufikia ujambazi sugu? mdokozi-kibaka-mwizi-mwizi sugu-jambazi-jambazi sugu?
Wizi wakutumia silaha hasa za kivita!na mwenye watukio mengi ya ujambazi na kesi nyingi mahakamani zilizo kwenye uchunguzi!nanyingi zinamhusu ila hazina ushahidi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.