Muda kidogo umepita tangu kundi la orijino komedi (OK) kuamia TBC1 lakini mpaka sasa kundi hili limeacha kazi yake kuikosoa serikali badala yake imekuwa ikiyafumbia macho maovu ya serikali ila sasa kazi yao ni kuitetea serikali na kuwakandamiza wapinzani kwa mfano kipindi bajeti mbovu ilivyotolewa na waziri tulitarajia tuone kazi yao ya sanaa ya kuikosoa serikali mbali na kuchekesha tu. Swali kwako mwana JF unafikiri ni nini sababu kubwa ya swala hili au mtazamo wako ni upi???