Jamani yeyote anaemtaka huyu demu!

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,987
20,271
Baada ya kurejea bongo leo nikiwa kwenye pirika zangu za kikazi nikabahatika kukutana na mrembo wa haja!

Yani demu nimeonana nae kwa mara yakwanza mchana wa leo,na nikamtoa hamsini hataratiba ya kula tunda tu bado eti jioni hii kananitumia sms hii jamani:

Habari yako sweet?sasa kunashida moja imejitokeza kidogo naomba nisaidie laki tano (500,000/=) ni2mie kwa njia ya m-pesa namba iyo 076... plz.

Sijajibu chochote na anabp sasa hv kwa fujo sana!
 
Baada ya kurejea bongo leo nikiwa kwenye pirika zangu za kikazi nikabahatika kukutana na mrembo wa haja!

Yani demu nimeonana nae kwa mara yakwanza mchana wa leo,na nikamtoa hamsini hataratiba ya kula tunda tu bado eti jioni hii kananitumia sms hii jamani:

Habari yako sweet?sasa kunashida moja imejitokeza kidogo naomba nisaidie laki tano (500,000/=) ni2mie kwa njia ya m-pesa namba iyo 076... plz.

Sijajibu chochote na anabp sasa hv kwa fujo sana!

pole xana, nani anataka matatizo?
 
baada ya kurejea bongo leo nikiwa kwenye pirika zangu za kikazi nikabahatika kukutana na mrembo wa haja!

Yani demu nimeonana nae kwa mara yakwanza mchana wa leo,na nikamtoa hamsini hataratiba ya kula tunda tu bado eti jioni hii kananitumia sms hii jamani:

Habari yako sweet?sasa kunashida moja imejitokeza kidogo naomba nisaidie laki tano (500,000/=) ni2mie kwa njia ya m-pesa namba iyo 076... Plz.

Sijajibu chochote na anabp sasa hv kwa fujo sana!

weka picha yake kwa usalama wa wengine hilo ni jini ambalo umelitoa kwenye chupa sasa huwa haliludi tena
 
Ahaaahaa waungwana binti katuma sms nyingine sasa hivi!

Yani nimekutumia sms tangu mchana nimekwambia ninashida na laki tano umesema hujaiona?sasa huo ulikuwa mtihan mdogo 2 umeshindwa naona ha2wez kuwa wapenz.bye.
 
Uroho wako ndiyo unaokuponza. Wewe kufika tu Dar na demu wakati huo huo!!!
 
Ulimtoa kivije hiyo 50!! ni hongo ili upate mapenzi au umemchunuku tu? kakuona ww BUZI
 
Baada ya kurejea bongo leo nikiwa kwenye pirika zangu za kikazi nikabahatika kukutana na mrembo wa haja!

Yani demu nimeonana nae kwa mara yakwanza mchana wa leo,na nikamtoa hamsini hataratiba ya kula tunda tu bado eti jioni hii kananitumia sms hii jamani:

Habari yako sweet?sasa kunashida moja imejitokeza kidogo naomba nisaidie laki tano (500,000/=) ni2mie kwa njia ya m-pesa namba iyo 076... plz.

Sijajibu chochote na anabp sasa hv kwa fujo sana!

kuwa makini sana unaweza kula dadako ukimchunguza sana unaweza kuta dadyyyyyyyyyyyyy alitoka nje Mungu akaamuwa kuwakutanosha kwa njia ya Pesa muulize jina la babake nani??
 
uroho wako ndiyo unaokuponza. Wewe kufika tu dar na demu wakati huo huo!!!

saudi ulitaka akababane na travetine na kina aunt suzi???loh kweli umpendi mwenzio weye sichelewi kukuita saidcameroon
 
hahaha mkuu inaonekana huna mashairi ya kuimbisha , unahonga 50 ili kumweka karibu hahah sasa ndo kaamua kujithaminisha mara kumi ya uliyompa ya kuongelea sasa aliyokupa 500 000 ni kwa ajiri ya kumvua chupi tu bado kulala nae andaa 1,000,000
 
Wenzako demu huyo huyo tunakula na kwa huruma buku 5 apata walau nauli na dinner!hamsini duu
 
Baada ya kurejea bongo leo nikiwa kwenye pirika zangu za kikazi nikabahatika kukutana na mrembo wa haja!

Yani demu nimeonana nae kwa mara yakwanza mchana wa leo,na nikamtoa hamsini hataratiba ya kula tunda tu bado eti jioni hii kananitumia sms hii jamani:

Habari yako sweet?sasa kunashida moja imejitokeza kidogo naomba nisaidie laki tano (500,000/=) ni2mie kwa njia ya m-pesa namba iyo 076... plz.

Sijajibu chochote na anabp sasa hv kwa fujo sana!

wewe unamkimbia, sasa unadhani nani anataka vimeo???
halafu hayo yalikuwa yenu wawili, kwani ukisema huna pesa, utakuwa si mwanaume??. na wewe unamatatizo, kukutana na mtu ndo lazima uchukue contacts zake,? nampongeza huyu dada kwani amekuweka mbali nae, sasa ninakulaumu wewe kwakutaka kumsogeza mtu mwingine kwa huyo demu wa laki tano
 
hamsini? daaah ana bahati sana...yaaani mi ndo inhekuwa posa hiyo
 
Back
Top Bottom