Nina best yangu mmoja ameanza uhusiano na binti mmoja mrembo sana tuuu, na wana kama miezi 6 hv, kwa jinsi ninavyomfahamu huyu jamaa ana uzoefu mkubwa ktk maswala ya mahusiano na girlfriend zake wote wa kipindi kilichopita ambao ameachana nao, huwa hawachoki kumsifia kwamba anauwezo wa hali ya juu ktk kale kamchezo.
Na kuna binti mmoja ambaye alikuwa mpenz wa huyu jamaa hapo zamani, ambaye ameshaolewa alishawahi kudiriki kunambia kwamba pamoja na kuwa ni mke wa mtu, kila akutanapo na huyu jamaa hamu ya tendo humjia na anahisi muda wa kuisaliti ndoa yake umekaribia.
Cha ajabu juzijuzi tu huyu best yangu amening'ata sikio kuhusiana na huyu dem wake mpya ambaye ni kifaa balaa. Jamaa anadai hajawahi kukutana na mwanamke wa aina hii, anadai wawapo ktk tendo hujikuta ameshapeleka nyavuni mpaka goli 4, lkn bila ya binti kuonyesha dalili zozote za yeye kufika kileleni japo hata mara moja.
Jamaa anadai hujitahidi kumwandaa huyu dada kuanzia nusu saa mpaka saa zima kabla ya kuingia ktk tendo, na na huonyesha ishara yuko tayari kwa mechi, sasa jamaa anashangaaa ni hali gani inayomsibu huyu binti?
Jamaa ameshajaribu kumnywea hata konyagi na valuu ili aboreshe mchezo lakini wapiiiii! jamani mabinti, wataalamu wa saikolojia na madaktari hebu toeni mchango wenu ktk hili ili niweze kumkwamua huyu jamaa.
Na kuna binti mmoja ambaye alikuwa mpenz wa huyu jamaa hapo zamani, ambaye ameshaolewa alishawahi kudiriki kunambia kwamba pamoja na kuwa ni mke wa mtu, kila akutanapo na huyu jamaa hamu ya tendo humjia na anahisi muda wa kuisaliti ndoa yake umekaribia.
Cha ajabu juzijuzi tu huyu best yangu amening'ata sikio kuhusiana na huyu dem wake mpya ambaye ni kifaa balaa. Jamaa anadai hajawahi kukutana na mwanamke wa aina hii, anadai wawapo ktk tendo hujikuta ameshapeleka nyavuni mpaka goli 4, lkn bila ya binti kuonyesha dalili zozote za yeye kufika kileleni japo hata mara moja.
Jamaa anadai hujitahidi kumwandaa huyu dada kuanzia nusu saa mpaka saa zima kabla ya kuingia ktk tendo, na na huonyesha ishara yuko tayari kwa mechi, sasa jamaa anashangaaa ni hali gani inayomsibu huyu binti?
Jamaa ameshajaribu kumnywea hata konyagi na valuu ili aboreshe mchezo lakini wapiiiii! jamani mabinti, wataalamu wa saikolojia na madaktari hebu toeni mchango wenu ktk hili ili niweze kumkwamua huyu jamaa.