Jamani Wtz kuna hili la BoT kulizwa tena.....

Chief Isike

JF-Expert Member
Jan 17, 2010
445
462
Hili suala ni kama vile limeshindwa kupata mwitikio sahihi, KWA BAHATI MBAYA SANA sijaweza kulisoma gazeti lililoripoti habari hiyo TZ DAIMA, mbali ya kuwa niliweza kulisikia likisomwa kwenye tv, nimejaribu kupata kopi 'nilivyorudi' sijafanikiwa, kwenye mtandao wao pia hawaja-post mpaka leo, mwaka mpya...

This is another very serious case, a new thing has been placed in our 'market' of mega scandals...fedha hazijaingia katika mzunguko tayari kuna watu wamezikwapua!!!!!!! Eti uwanja wa ndege...why, na kwa nini imewezekana kirahisi hivyo!!!!!! Tunaelekezwa wapi. Naomba kuwasilisha, maana ni kama vile hata hapa halijapatiwa nafasi stahili (sijaona thread yoyote)
 
Hili suala ni kama vile limeshindwa kupata mwitikio sahihi, KWA BAHATI MBAYA SANA sijaweza kulisoma gazeti lililoripoti habari hiyo TZ DAIMA, mbali ya kuwa niliweza kulisikia likisomwa kwenye tv, nimejaribu kupata kopi 'nilivyorudi' sijafanikiwa, kwenye mtandao wao pia hawaja-post mpaka leo, mwaka mpya...

This is another very serious case, a new thing has been placed in our 'market' of mega scandals...fedha hazijaingia katika mzunguko tayari kuna watu wamezikwapua!!!!!!! Eti uwanja wa ndege...why, na kwa nini imewezekana kirahisi hivyo!!!!!! Tunaelekezwa wapi. Naomba kuwasilisha, maana ni kama vile hata hapa halijapatiwa nafasi stahili (sijaona thread yoyote)


Sorry nafikiri ni 10 billions of money...oooh mpaka natishika bilioni 10 hivi hivi
 
Back
Top Bottom