kvelia
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 246
- 44
jamani naomba ushauri wa kitaalam, mimba inatungwa kwenye uterus au wapi? Kuna dada mmoja ana mimba ya mwezi kama na nusu hivi, anadai mimba imetungwa karibu na cervix, alienda hospital wakamwambia ikikuwa itapanda hadi kwenye uterus, naomba kuuliza hii inakuaje na ni kweli? Asanteni sana.