yeuwi jumatatu napeleka maombi mungu nisaidie ila zinahusu nini mana kasimu kangu kamegomea njian and magazeten hawajatoa? Kama kuna mtu mwenye maelezo zaidi anijuze.
Ngoja tujaribu ajira ngumu sana sasa
yaani kwa nafasi hizi mpya mpya kuanzia miaka 5 iliyopita
ukiuliza mwenzangu hii nafasi umepataje
mara mjomba kaniunganishia ,sijui anko anajuana na nani
lol sijui tunaelekea wapi..kama sio kukaa ndani na CV's zetu..
Sasa imebakia kupeana michongo ya kuwa Entrepreneur tu hakuna kingine
Ubarikiwe mkuu lol!!. Na hizi nazo tukikosa itabidi tukasafishe nyota kwa waganga maana kila sekta wamegusa. Ila tutawapoteza members wengi sana hapa JF kutokana na majukumu kuongezeka. Mungu tubariki jobless.
hivi UNAJUA kuna maelfu ya watu wanahizo qualfication pia na unakuta fan yako mayb zmetoka nafas 45 na wenye vgezo mayb 700 ? Cha msing aply then muombe mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.