ndo maana Kikwete alisema kunaudini! NIMEELEWA SASA KUMBEEE WOOTE NYINYI NI ........... AAAAH TUKITAFUTA KWA PERCENT HAPO!!
pole mkuu, najua uchungu wa uwajibikaji.
Ila wanapendedha kwenye kuudha thura!!!! Uchapa kadhi dooo!!!!
kuuza sura? Makamba nae? Msura ka plastic liloungua moto?
hashy, hapo mzee ndo kajitahidi mbaya, si unacheki hadi na katabasamu. Pozi la picha hilo, sipati picha ukampiga picha hajatabasamu.
Halafu hii mikunjo ya uso naiona imepitiliza mpaka kwenye damu na moyo maana mzee anagubu huyu, utafikiri nyumba ndogo iliyonyimwa matumizi
mkuu kwahiyo jamaa wanauza sura eeeh!Henge angalia jicho lako bana!!! Me nimeweka tu kwa thababu nimependa thura zao.
Kikwete, mhhhh no comment kwa sasa hadi aondoke madarakani ndiyo ntasiliba...............
Pius Msekwa, alimnyang'anya Mzee Kawawa Mwanamke (Anna Abdallah.......)
Karume ni Mlevi hadi Bi Kidude kamuimba "Ahmada acha ulevi....."
Yusufu Makamba alibaka Mwanafunzi wakati akiwa Mwalimu huko kijijini kwao Zitto (Mwandiga??)
Wote wanaunganishwa na dini moja iitwayo PESA.
Kikwete, mhhhh no comment kwa sasa hadi aondoke madarakani ndiyo ntasiliba...............
Pius Msekwa, alimnyang'anya Mzee Kawawa Mwanamke (Anna Abdallah.......)
Karume ni Mlevi hadi Bi Kidude kamuimba "Ahmada acha ulevi....."
Yusufu Makamba alibaka Mwanafunzi wakati akiwa Mwalimu huko kijijini kwao Zitto (Mwandiga??)
Wote wanaunganishwa na dini moja iitwayo PESA.
mkuu kwahiyo jamaa wanauza sura eeeh!
mimi nilidhani umeiweka tuone na kuijadili kwa uelewa wetu mkuu!