HardMartin
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 304
- 107
Habari za asubuhi ndugu zangu,jaman nina mdogo wangu anasumbuliwa na maumivu ya tumbo upande wa kulia toka mwez april nimejaribu kumpeleka hospital wanaishia kumpa dawa bila kutoa vipimo maalum,kila 2kienda hosp wanaendelea kumbalishia dawa wakat mpaka sasa hajapata nafuu badala yake anasema kwamba MAUMIVU YANAZID KUPANDA JUU MPAKA KUFKIA KIFUAN UPANDE WA KULIA,kinachoniuma zaid n kwamba hajarpot shule mpaka leo(4rm five)-NAOMBA MSAADA wenu wa Ushaur pamoja na Tiba.