Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
eeeehhh Erickb52 umenena unaona hata wifi yangu sweetlady sio mchoyo mwulize Vin Diesel
Last edited by a moderator:
Hata wewe sio mchoyo kabisa....endelea na moyo wako Blaki Womani
hahahahahah mzima........umepona majeraha
Majeraha gani tena wakati bado ananipa kwa kiwango kile kile na tena nina uhuru wa kuongeza wengine bila kikwazo[/QUOTE]
wifi yangu kwa nitonye amefika ......hapo kwenye red maneno ya mkosaji
Majeraha gani tena wakati bado ananipa kwa kiwango kile kile na tena nina uhuru wa kuongeza wengine bila kikwazo[/QUOTE]
wifi yangu kwa nitonye amefika ......hapo kwenye red maneno ya mkosaji
Nakosa kitu gani?
nikushushie orodha?
Nakosa kitu gani?
nikushushie orodha?
hahahahaahah naona unazidi kupagawa orodha haifiki ulichokuwa unakipata kwa sweetlady
Mr Rocky mzima...... Erickb52 vibambala na sangara vinamchanganya nawasiliana na Arushaone amfwate usikute amepotelea ziwani.......hapo kwenye mabano pameandikwa niniArushaone ni kiboko na kweli kuna siku nilikuta like kama ishirini zote ni za Arushaone
Hongera sana mkuu Erickb52 wanao wanaendeleaje huko meatu maana naona umelowea kabisa hutaki kurudi Amyner anajua kuwa uko meatu sweetlady mekumiss wewe halafu kwenye mabano (nakupenda sana )
ukimaliza kusoma ufute au weka wino mweusi isionekane
Ngojeni nitulie, nakuja kuzipokea zote!
mbona sweetlady bado twapeana....hujui kuiba kutamu?
hahahahahahah unafaidi kuliko mmiliki
Arushaone ni kiboko na kweli kuna siku nilikuta like kama ishirini zote ni za Arushaone
Hongera sana mkuu Erickb52 wanao wanaendeleaje huko meatu maana naona umelowea kabisa hutaki kurudi Amyner anajua kuwa uko meatu sweetlady mekumiss wewe halafu kwenye mabano (nakupenda sana )
ukimaliza kusoma ufute au weka wino mweusi isionekane