sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Wapendwa wana chit chat kuna huyu memba anaejiita Arushaone .......daaaah jamani sio mchoyo wa kutoa like......hebu na tumpe hongera zake manake hana mpinzani chit chat na majukwaa mengine kwa sasa.....yaani mie ananishangaza kwa kweli.....huyu mwenzetu sijui atakuwa anatokea kabila lipi lisilokuwa na hata chembe ya uchoyo...... Mke mwenza King'asti hebu nisaidie kujua Arushaone anatokea mkoa gani ila na wewe usijesema anatokea mkoa wa ngaramtoni lol.......hivi kuna memba humu hajawahi kulamba like ya Arushaone???......kama yupo na akaoge maji ya magadi tena yalochotwa katikati ya bahari....... platozoom atamsaidia kwenda kuchota !
Mamndenyi mama mzazi naomba kwa heshima na taadhima nikutoe kwenye ginesi buku yangu kwa upendo wa bwana afu nimwingize Arushaone manake anatisha na anastahili kiukweli!.......tumezoea kupeana like kishkaji ila huyu mwenzetu jamani za kwake zimepitiliza..... Ndahani hebu kuja umpigie makofi kwa niaba ya Filipo na PakaJimmy!
Nikisema Arushaone sio mchoyo ina mana kuna wachoyo wa kutoa like humu.....mmoja wao ni Nyani Ngabu lol yaani mie toka nijiunge jf nimewahi kulamba like yake moja tu khaaa......yaani mpaka nimeiandikia tarehe wajameni lol....kuna na huyu moderator anaejiita Invisible yaani hajawahi kunigongea like hata siku moja ......najitahidi kweli kum mention kwenye post tofauti tofauti ila nasikitika vile bado amenikaukia lakina naamini kuna siku atanigongea.....hongera za kipekee zimwendee shemeji langu la ukweli Paw manake kiukweli nna like zake kadhaa bila kumsahau INNOVATOR na Fang !
Kuna wale wenzangu na mie yaani hawa utakuta wana like za watu kibao ila wao hawajatoa like hata moja khaaa.....jamani acheni uchoyo manake mnakuwa hamuwatendei haki memba kama Arushaone......kutoa ni moyo wajameni......like tu mnakuwa wachoyo hivyo vipi hiyo michango ya jf mtaitoa kweli??? tehe tehe tehe!
Arushaone mimi binafsi natoa shukrani za dhati kutoka uvunguni mwa moyo wangu..... Unatisha mkuu!
Nawaita Kongosho, Asprin, Preta, Erickb52, Kaizer, Catherine, charminglady, KARIA BAGAH, Judgement, AshaDii, Blaki Womani, Madame B, Mentor na memba wote wa chit chat niliowasahau majina yao....njooni tumpe hongera Arushaone!
Mamndenyi mama mzazi naomba kwa heshima na taadhima nikutoe kwenye ginesi buku yangu kwa upendo wa bwana afu nimwingize Arushaone manake anatisha na anastahili kiukweli!.......tumezoea kupeana like kishkaji ila huyu mwenzetu jamani za kwake zimepitiliza..... Ndahani hebu kuja umpigie makofi kwa niaba ya Filipo na PakaJimmy!
Nikisema Arushaone sio mchoyo ina mana kuna wachoyo wa kutoa like humu.....mmoja wao ni Nyani Ngabu lol yaani mie toka nijiunge jf nimewahi kulamba like yake moja tu khaaa......yaani mpaka nimeiandikia tarehe wajameni lol....kuna na huyu moderator anaejiita Invisible yaani hajawahi kunigongea like hata siku moja ......najitahidi kweli kum mention kwenye post tofauti tofauti ila nasikitika vile bado amenikaukia lakina naamini kuna siku atanigongea.....hongera za kipekee zimwendee shemeji langu la ukweli Paw manake kiukweli nna like zake kadhaa bila kumsahau INNOVATOR na Fang !
Kuna wale wenzangu na mie yaani hawa utakuta wana like za watu kibao ila wao hawajatoa like hata moja khaaa.....jamani acheni uchoyo manake mnakuwa hamuwatendei haki memba kama Arushaone......kutoa ni moyo wajameni......like tu mnakuwa wachoyo hivyo vipi hiyo michango ya jf mtaitoa kweli??? tehe tehe tehe!
Arushaone mimi binafsi natoa shukrani za dhati kutoka uvunguni mwa moyo wangu..... Unatisha mkuu!
Nawaita Kongosho, Asprin, Preta, Erickb52, Kaizer, Catherine, charminglady, KARIA BAGAH, Judgement, AshaDii, Blaki Womani, Madame B, Mentor na memba wote wa chit chat niliowasahau majina yao....njooni tumpe hongera Arushaone!