Jamani walimu aliyepata waraka wa serikali kwa waajiriwa wapya hususani walimu!

Spellan

JF-Expert Member
Jun 15, 2011
307
14
Walimu aliyepata waraka huo tunaomba atuwekee hapa tujue haki zetu, tunapo anza kazi.
 
Wanasemaje mwanangu? Nipe dokezo mana kesho nataka niende huko

mkuu nami kesho nikiwa natinga hapo.wakizingua nawapiga marufuku kukata mshahara wangu.

Then download sheria ya ajira na mahusiano kazini. Ipo ktkt pdf. Very important.
 
Wanasemaje mwanangu? Nipe dokezo mana kesho nataka niende huko

Me nilienda cwt wakaniambia bado hawajaupata cjui ni kweli au la...yakaambatana na maswali kibao yacyohusiana na waraka mfano umetoka wapi? unautaka wa nini? nk
 
Me nilienda cwt wakaniambia bado hawajaupata cjui ni kweli au la...yakaambatana na maswali kibao yacyohusiana na waraka mfano umetoka wapi? unautaka wa nini? nk

Asante mluu nami nilitaka kwenda asubuhi hii Cwt na hii inajidhihirisha hiki Chama kinaitumikia ccm 100% through majibu yao
 
Me nilienda cwt wakaniambia bado hawajaupata cjui ni kweli au la...yakaambatana na maswali kibao yacyohusiana na waraka mfano umetoka wapi? unautaka wa nini? nk

ungewaambia ww ni mwl mpya tu. Wakizingua tunawapiga stop kukata mishahara yetu.
 
Hvi mmeisha jua mnalipwa mshahara wa sh ngapi enyi walimu wapya?
 
Naomba mnipe shule kidogo...
Nielimisheni kuhusu maana ya waraka wa serikali, hii ni nini?
Nimeuliza kwenye ukumbi wa Technology kuhusu privacy ya data za mtu binafsi kama kuna policy yoyote inayolinda haki za mtu. Kwenye site ya elimu, matokeo ya mitihani na ajira za walimu zinaanikwa kwa kutumia spreadsheet, je hii ni halali?
Pia katika list hizo, wanatoa anuani ya sehemu ya kazi, je information hizi zinatosha mtu kujua amepangwa wapi zaidi ya kujua mji/kata, je shule yenyewe inajulikana kwa anwani au wanatumia majina ya shule?
 
Ndugu zangu leo hii tar 25 febr nimeenda CWT makao makuu nimewauliza maswali kadhaa na zaidi bwana mmoja akaniambia ngoja aniitie assistant Head of Advocacy mh Florence M Burudaa yafuatayo aliyajibu: Tulimuuliza je hela ya kujikimu ya sasa ni ya muda gani ambayo inatolewa? Akasema hela inayotolewa niya siku 7 kutegemeana na eneo ulipo
Pia aliulizwa mwl anatakiwa kusafirisha mizigo kiasi gani? Akasema ni Tan moja na nusu na kila 1km unatakiwa watulipe sh 1000,kwa hyo tumepewa maelezo mengi sana kadhalika wakasema tukifika huko tuendako twendeni ofisi za CWT watatupatia huo waraka kwa sasa bado haujawafikia kwa ujumla jamaa wametuckiliza vizuri sana,kadhalika wakanipatia na katiba ya CWT so kama una swali uliza hadi namba za mawakili wa cwt ninazo,ndio hayo kwa uchache
 
Kaka, mie nimesitisha kwanza mambo yetu ila mpango uko palepale, nimepangwa Rungwe-mbeya.

Haina noma mkuu,mie nimepangwa Kigoma ila yale mambo yakitoka muda wowote nitafanya kama mwanzo,poa kila la kheri
 
Hvi mmeisha jua mnalipwa mshahara wa sh ngapi enyi walimu wapya?

Pole na mitihani mkuu kama cjakosea,kwa maelezo ya awali Basic Salary ni kama 46900 na take home inafika kama 402000 kuna uzi mmoja mdau alileta humu ndani ulieleza hayo
 
Mkuu hawajakutoa chochote (usijali kwa kuwa labda ni mkazi wa hapo jiji, mimi nilitoka mbali,
wale people wa cwt makao makuu wako peace sana,
wanapokea na kusikilza vizuri sana,
 
Mkuu hawajakutoa chochote (usijali kwa kuwa labda ni mkazi wa hapo jiji, mimi nilitoka mbali,
wale people wa cwt makao makuu wako peace sana,
wanapokea na kusikilza vizuri sana,

Mkuu ni kweli jamaa wanasikiliza vizuri sana na kukushauri cha kufanya,lingine ukijiamini ndio watakusaidia zaidi
 
Pole na mitihani mkuu kama cjakosea,kwa maelezo ya awali Basic Salary ni kama 46900 na take home inafika kama 402000 kuna uzi mmoja mdau alileta humu ndani ulieleza hayo

kumbe mnalipwa vzr,nimeona mahali flan wahasibu wenye shahada wanalipwa 350000tsh.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom